Lizer wa wasafi...its time to move on

Lizer wa wasafi...its time to move on

Usichokijua ni kuwa wasanii wa bongo wako kwa upepo yaani kama biashara ya bar.
Producer ukiwa na upepo kwa wakati huo wasanii wote wanakuja kwako, ukikata wote wanahama wanaenda kwingine. Ni heri abaki hapo kwenye uhakika.
Naunga mkono hoja yako ila aombe aongezewe mshaara aisee anapiga kazi ya kuonekana huyu dogo
 
Huyo S2Kizzy mwenyewe pia anavimba Town kwa sababu ya kupata sapoti ya hao hao akina Diamond. Ambao ndiyo wanamlipa vizuri kwa kazi anayofanya (kuwagongea beats).
ila hii Game ya Muziki wa Bongo ni ngumu sana kwa ma-producers. Kwa sababu hakuna ROYALTY BENEFITS zozote wanazopata producers (music composers) pale ambapo Beats zao zinapotumika kwa Financial Gain (Shows/Performance, Online, Advertisements etc. ).
Kwa kifupi Mamlaka ya Copyright kwa hapa Tanzania ambayo ni COSOTA imeshindwa kufanya kazi hii vizuri kuwasaidia producers (music composer) wa Bongo.
Kwa wenzetu UGHAIBUNI (Canada, Sweden, USA, France, UK etc.) hizi ROYALTY BENEFITS huwafaidisha producers (music composers). Hivyo producer anakula percentage yake kila mara pale ambapo Beats yake ikitumika kiBiashara (kwenye Shows, Online, Matangazo etc.)..
Muziki Bongo haulipi kivile kwa ma-producers, maana wasanii wengi wakubwa wanapenda vitonga (hawapendi kulipa Studio) wanapenda Beats za Bure Bure tu.
Na kuna Utitiri wa ma-producers, kwenye Mainstream Industry ya muziki wa Bongo, hivyo supply ya producers ni kubwa kuliko demand. Na hii inafanya bei ya kurekodi ishuke.
Hivyo wasanii wakubwa wengi hawapendi kulipa Studio Sessions. Sababu wanajua beats za bure tena ambazo ni ROYALTY FREE watazipata kwa wingi kwa producers wanaochipukia (producers wachanga).
Kwa kifupi hivi sasa, uzembe wa WIZARA HUSIKA na COSOTA unafanya game iwe ngumu sana kwa ma-producers (music producers) , na hata wakongwe kama akina P-FUNK na MASTER JAY huwa wanasisitiza hili sana.
Labda Producer afungue RECORDING LABEL yake aisajili kama KAMPUNI, atafute WANASHERIA wamsaidie kuandaa MIKATABA mizuri itakayomfaidisha PRODUCER pia popote pale Beats itakapotumika kuingiza Pesa (Shows, Online, Matangazo etc).
Nimalizie kusema, Wasafi haimbani Laizer kufanya kazi na wasanii wengine nje ya wasafi.
Laizer mwenyewe alishasema yupo free kufanya kazi na mtu yeyote, ni pesa yako tu!!
Rebecca 83
Baaasiii umeua utata mi naenda na wewe
 
Siyo uwoga Mkuu

Labda sikueleweka vizuri Mkuu

Yaaah mkuu mfano mzuri ni labda wewe unapopatia riziki saiv mambo yakaharibika hautakufa mkuu utaparangana utaibuka sehemu nyingine, hata kama sehemu ya kwanza watakutengenezea vikwazo kuna namna Mungu atakuonyesha tu ili mtu wake wa nguvu uendelee kusavaiv. Mfano juz nlikuwa sehemu na shemeji yako mmoja nampa maisha sasa pemben kuna jamaa anaonekana ana stress zake si unajua wanawake ? akawa kama anamletea dharau, me nikamwambia ukweli kwamba asimdharau mwanaume, leo hana kesho anacho alafu moyoni nikajisemea hata wewe unaleta dharau sababu i am around na ndio nalipa bill hapa nikikuacha ustand alone hata maji utaona ni gharama. Anyways nachojaribu kusema ni kwamba vitu viwili kwenye maisha ya wanaume(nasema wanaume sababu sisi ndio tuna toil sana), KUJIAMINI SISI BINAFSI, na KUJIPA SECOND CHANCE KAMA TUKIFANYA BLUNDER ON FIRST ATTEMP... Maisha hayahitaji kukurupuka kama ulivyosema mkuu ila TRUST ME kujipanga kwa other alternatives kama the coin flips on the other side ni Muhimu sana sababu anytime anything can happen. Twende kwenye mfano halis sasa, boss wa WCB ni Mond, uwepo wa laizer pale unategemea mondi [emoji817], Tunasema ishue ya laizer kuobdoka mwenyewe yan asikurupuke, sasa basi siku akiamka yeye mondi anasema hamtaki laizer, laizer atafanyaje ? sababu diamond nae ni mtu pia ana mood swing na pia ana preference zake muda mwingine anataka hiv hataki vile hata kama mwaka jana alikuwa anataka hiki. Chamsingi hapa ni tu jamaa awe nae na plan b if things dont work out with his boss, ila kama mambo bado ni mazuri kama tunavyoona inshalaah sisi tunamwombea dua.

NB: Usimtegemee asilimia [emoji817] binadamu siku akikuangusha hautaamini. Its only God that we can rely on with [emoji817]percent.
 
Yaaah mkuu mfano mzuri ni labda wewe unapopatia riziki saiv mambo yakaharibika hautakufa mkuu utaparangana utaibuka sehemu nyingine, hata kama sehemu ya kwanza watakutengenezea vikwazo kuna namna Mungu atakuonyesha tu ili mtu wake wa nguvu uendelee kusavaiv. Mfano juz nlikuwa sehemu na shemeji yako mmoja nampa maisha sasa pemben kuna jamaa anaonekana ana stress zake si unajua wanawake ? akawa kama anamletea dharau, me nikamwambia ukweli kwamba asimdharau mwanaume, leo hana kesho anacho alafu moyoni nikajisemea hata wewe unaleta dharau sababu i am around na ndio nalipa bill hapa nikikuacha ustand alone hata maji utaona ni gharama. Anyways nachojaribu kusema ni kwamba vitu viwili kwenye maisha ya wanaume(nasema wanaume sababu sisi ndio tuna toil sana), KUJIAMINI SISI BINAFSI, na KUJIPA SECOND CHANCE KAMA TUKIFANYA BLUNDER ON FIRST ATTEMP... Maisha hayahitaji kukurupuka kama ulivyosema mkuu ila TRUST ME kujipanga kwa other alternatives kama the coin flips on the other side ni Muhimu sana sababu anytime anything can happen. Twende kwenye mfano halis sasa, boss wa WCB ni Mond, uwepo wa laizer pale unategemea mondi [emoji817], Tunasema ishue ya laizer kuobdoka mwenyewe yan asikurupuke, sasa basi siku akiamka yeye mondi anasema hamtaki laizer, laizer atafanyaje ? sababu diamond nae ni mtu pia ana mood swing na pia ana preference zake muda mwingine anataka hiv hataki vile hata kama mwaka jana alikuwa anataka hiki. Chamsingi hapa ni tu jamaa awe nae na plan b if things dont work out with his boss, ila kama mambo bado ni mazuri kama tunavyoona inshalaah sisi tunamwombea dua.

NB: Usimtegemee asilimia [emoji817] binadamu siku akikuangusha hautaamini. Its only God that we can rely on with [emoji817]percent.
Nime kupata vizuri Mkuu, nilicho kua namaanisha ni kwamba aanze kujijenga still akiwa yupo kibaruani ili likitokea la kutokea aweze kusimama mwenyewe.
 
Nime kupata vizuri Mkuu, nilicho kua namaanisha ni kwamba aanze kujijenga still akiwa yupo kibaruani ili likitokea la kutokea aweze kusimama mwenyewe.

Hapo naunga hoja kabisaaaa, manake kuna leo na kesho, ukute jamaa hata hana habari..
 
Back
Top Bottom