Lizer wa wasafi...its time to move on

Lizer wa wasafi...its time to move on

Mkuu ushauri mzuri sana huu wa kutokua na maugomvi na mashindano. I just think if Wasafi wants to keep him ,then walimpe vizuri, 10-20% ya mapato yote ya nyimbo aliyotengeneza ingependeza wamlipe, instead of mshahara. Anyway sijui haya mambo ya Music,especially kujua haki za wasanii,producer or label , ila inaelekea kuna mambo mengi ndani ya carpet.
Waswahili yatuuafika stage hii
Mkuu ukifatilia mziki wa bongo , producer si chochote ndo mana lamar anauza ubwabwa na kuosha magari, master J naye haelewek akina makochali hao , Wataalam kama PFunk , Tuddy hawasomeki man water analia lia tuu....

Tatizo linakuja Diamond anathamin Sana wafanya kaz wake ndo mana inafkia hatua watu tusiojua tunahsi huenda wananyonywa ,....

Producer unalipwa Laki moja na msanii, msanii mkubwa ambao ni wachache anakulipa 500K au 1Million per beat, diamond anatoa mpak 5Million, ...juzi S2Kizz kapost gar producer mwenzako kamkatalia kuwa hawez kununua gari ya vile Kwa hela ya production may be ana mishe zingine au Diamond kamtunuku tuu....somtyme wanafikia hatua ya kuimba tuu sasa na wao....mziki wa Tanzania bado ni mchangao
kuendana na haki za maproducer kama ilivyo nje ....
Diamond anajitahdi Sana kiukwel kuwalipa vizur mi siombei Laizer atoke WCB ajijenge Tu pale pale kuna maproducer wakubwa Tu wanataman nafas yake hapo..... Soko halipo fair na kuligeuza ni kazi kwel kwel
Acheni uongo na kuabudu watu, eti Diamond anakipa watu vizuri mbina maisga yak wanitoka hapo hayaekeweki?

Unabwabwaja jwa ujasiri utafikiri unaonaga salary slip za hao wafanyakazi waje
 
Diamond anamletea mabiti ya mfukoni.

Utasikia nataka Beat kama la Joro ya Wizkid.

Beat linachukuliwa unaimbwaibwa ujinga humi, wimbo unaitwa Jeje.

Na kwakuwa media ipo, social media zipo hata kama hutaki utasikiliza tu ngoma zetu.

Ndio maana muziki wa bongo umekuwa takataka kabisa
Jeje beat kanyonga "KP Vibes" wa Nigeria... Acha uongo
 
Yaani siku analogwa atoe mguu nje ataona hiyo nafasi itakavyopigwa fasta fasta. Kuna watu kama 1K wanaimezea mate hiyo nafasi na wengine ni wazuri na wakali kuliko huyu mnayemwambia atoke ila hawajapata nafasi ya kusikika tuu
 
Waswahili yatuuafika stage hii

Acheni uongo na kuabudu watu, eti Diamond anakipa watu vizuri mbina maisga yak wanitoka hapo hayaekeweki?

Unabwabwaja jwa ujasiri utafikiri unaonaga salary slip za hao wafanyakazi waje

Multiple ID at work
 
Umeongea as if hujui producers wanavyofanywa na wasanii...watapiga beats naww kama mwaka kisha watakukimbia.. it's better abaki hapo hapo kama wanamlipa fresh

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Diamond anamletea mabiti ya mfukoni.

Utasikia nataka Beat kama la Joro ya Wizkid.

Beat linachukuliwa unaimbwaibwa ujinga humi, wimbo unaitwa Jeje.

Na kwakuwa media ipo, social media zipo hata kama hutaki utasikiliza tu ngoma zetu.

Ndio maana muziki wa bongo umekuwa takataka kabisa
Kwani lini nyimbo za Bongo ziliwahi kuwa dhahabu labda?

Wabongo kitu pekee tunachoweza kukifanya kwa ufasaha kabisa ni kupondana
 
Kuna producer mkubwa sana hapa bongo alipost ndinga yake mpya mitandaoni.......maproducer wenzake wakubwa wakamjia juu kwamba labda kama amenunua kwa hela za mishe nyingine na sio hizi za kutengenezea beat wasanii
Kwa sababu kwenye industry ya muziki Tz producers ndio wanaonyonywa balaa kwa malipo kiduchu

Producers ni kama baa mpya vile ukivuma upepo kila msanii atakukimbilia na vilaki laki vyao na mikopo, na baada ya muda anavuma Mayu wanakuhama na hawakulipi

Hakuna producer hata mmoja aliyedumu kwa game miaka lukuki
 
Kwani lini nyimbo za Bongo ziliwahi kuwa dhahabu labda?

Wabongo kitu pekee tunachoweza kukifanya kwa ufasaha kabisa ni kupondana
Unamjua P funk majani, Master J au umezaliwa mwaka 2000.

Wazee wa nyimbo za views
 
Unamjua P funk majani, Master J au umezaliwa mwaka 2000.

Wazee wa nyimbo za views
Ninapo sema hakuna maproducers waliodumu mda mrefu sikumaanisha hawadumu wanakufa...........nilimaanisha wanaodumu kwenye game

Hao akina Master J na Majani wanapiga issue zao zingine kabisa
 
Challenge muhimu Mkuu ila siyo una ingia ulingoni kwa kukurupuka kwa kuwa una jina , muhimu uwe na mikakati thabit, Lizer ni producer mzuri ila siyo the best kuliko wote bongo kinacho fanya anukie ni ilo uwaridi pembeni yake

yaaah labda ivyo ila mzee, nilichokuwa napinga mimi ni namna ulivyopresent ulichokisema ni kama utaka kusema jamaa mlango wa WCB ukifunga hana code ya mlango mwingine, kwenye hilo ndio huwa siamini sababu kuna namna ambayo Mungu huwa anajua kuyaweka mambo level kwa watu wake sababu anajua leo na kesho.
 
Wacha uoga. Huyo aliyemwajiri alithubutu kwa kurisk kidogo alichopata ili apate kikubwa. Hapa ni talent, mtaji na uthubu tu baassi
Siyo uwoga Mkuu
yaaah labda ivyo ila mzee, nilichokuwa napinga mimi ni namna ulivyopresent ulichokisema ni kama utaka kusema jamaa mlango wa WCB ukifunga hana code ya mlango mwingine, kwenye hilo ndio huwa siamini sababu kuna namna ambayo Mungu huwa anajua kuyaweka mambo level kwa watu wake sababu anajua leo na kesho.
Labda sikueleweka vizuri Mkuu
 
Hello dear.

i just think its time to move on, leave Wasafi.

Fungua kampuni yako binafsi,

Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao.

Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote.

Ila malipo,yawe per nyimbo.

Na sio kwa mwezi tena,

Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi.

But trust me, you have got a lot of potential. Plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi.

Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully.

Thanks.
Naomben kuuliza hv ni producer gan alitengeneza beat ya benpol moyo mashine pale kati kuna mlio mmoja hatar sn kuna siku nilikuta bar namwaga mauno baa nzima iliinuka kila mtu na wake aisee ile beat sitaosahau
 
Back
Top Bottom