Lizer wa wasafi...its time to move on

Lizer wa wasafi...its time to move on

Huyo S2Kizzy mwenyewe pia anavimba Town kwa sababu ya kupata sapoti ya hao hao akina Diamond. Ambao ndiyo wanamlipa vizuri kwa kazi anayofanya (kuwagongea beats).
ila hii Game ya Muziki wa Bongo ni ngumu sana kwa ma-producers. Kwa sababu hakuna ROYALTY BENEFITS zozote wanazopata producers (music composers) pale ambapo Beats zao zinapotumika kwa Financial Gain (Shows/Performance, Online, Advertisements etc. ).
Kwa kifupi Mamlaka ya Copyright kwa hapa Tanzania ambayo ni COSOTA imeshindwa kufanya kazi hii vizuri kuwasaidia producers (music composer) wa Bongo.
Kwa wenzetu Ughaibuni hizi Royalty Benefits huwafaidisha producers (music composers).
Muziki bongo haulipi kivile kwa ma-producers, maana wasanii wengi wakubwa wanapenda vitonga (hawapendi kulipa Studio) wanapenda Beats za Bure Bure tu.
Na kuna Utitiri wa ma-producers, kwenye Mainstream Industry ya muziki wa Bongo, hivyo supply ya producers ni kubwa kuliko demand. Na hii inafanya bei ya kurekodi ishuke.
Hivyo wasanii wa kubwa wengi hawapendi kulipa Studio Sessions.
Kwa kifupi game ni ngumu kwa ma-producers, na hata akina P-Funk na Master Jay huwa wanasisitiza sana hili.
Labda Producer afungue RECORDING LABEL yake aisajili kama KAMPUNI, atafute WANASHERIA wamsaidie kuandaa MIKATABA mizuri itakayomfaidisha PRODUCER pia popote pale Beats itakapotumika kuingiza Pesa (Shows, Online, Matangazo etc).
Nimalizie kusema, Wasafi haimbani Laizer kufanya kazi na wasanii wengine nje ya wasafi.
Laizer mwenyewe alishasema yupo free kufanya kazi na mtu yeyote, ni pesa yako tu!!
Rebecca 83
👍👍👍
 
Amigo heshima yako mkuu!
Ikurudie comrade, pole kwa kifungo kidogo tena cha uonevu wa waziwazi kabisa kwa mambo yao meusi.....
Haya ebu ning'ate sikio nduguyangu, huyu Leizer billionaire wa Tanzanite, imekuaje tena na huko wasafi...???
Maana hapa vijana wananichanganya tu..😇😇
 
Ushauri mzuri...ila muhusika inabidi achukue tahadhari sana katika kuufanyia kazi..vyenginevo majuto yatakuwa mjukuu wake. Nazani ana case studies nyingi tu...Nimemaliza
 
Hello dear...

i just think its time to move on, leave Wasafi...

Fungua kampuni yako binafsi,

Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao..

Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote...

Ila malipo,yawe per nyimbo...

Na sio kwa mwezi tena,

Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi...

But trust me, you have got a lot of potential...plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi....

Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully..

huna sikio la muziki. Inaonekana kelele za Djs zinaathiri usikivu wako.
Rebecca labda huna sikio zuri la muziki, au umeathiriwa na promo za media. Jipe muda usikilize miziki tofauti, weka pembeni radio, TV na Instagram.
Laizer anafuata nyayo za Maco Chali wa MJ. Unajua maishani tunazidiana ndoto. S2Kizzy alipopata jina tu hakuchelewa akaanzisha chake ona alipofika.
Kwa Laizer, hakuna producer pale. Ni mbangaizaji tu. Ukubwa wake unategemea zaidi ukubwa wa wasanii anaofanya nao kazi.

The same to Sheddy Clever.

Trust me, akitoka Wasafi na lake halipo.

Truth be told, hana maajabu anabebwa tu.
 
Yaah yaani kuna kuwa na ile bar gani ndio habari ya mjini. Utaona wote wanahama bar. Wajanja huwa upepo ukikata wanafanya ukarabati na kubadili muonekano. Utaona tena kundi lote linarudi.[emoji3]
Walevi huwa wanaarifiana machaka mapya au yaliyoboreshwa.

[emoji23]ni kama kwenye magari tu, walianza Noah kila mtu akanunua, wakaja Harriel old model kila mtu akanunua, wakaja altezza na mark x kila mtu akanunua, wakaja verossa kila mtu akanunua
sasa hivi wapo kwenye Harrier ya 2002 na subaru soon zitapita
 
Acha kumpotosha Mkuu ujui anafaidika vipi katika ajira yake hiyo
NB:BORA KIDIGO CHA UHAKIKA KULIKO KINGI USICHOKUA NA UHAKIKA NACHO
Ni bora kidogo cha uhakika,hapo ni mimi na wewe tusio na talent, kabarikiwa kipaji,namshauri tu akitumie fully..
Akili za kimasikini hizi. Matajira wanapanua wigo, they are taking risk. Wanapasua vichwa, hawakai kwenye comfort zone.
Hebu fikiria Toyota angekuwa anategemea soko la Japan peke yake je leo ingekuwa kampuni kubwa?
Labda sija eleweka vizuri au uja nielewa ,na maana sometimes ili mtu afanikiwe ina bidi uwe Risk taker ila siyo kwa kukurupuka
Challenge muhimu Mkuu ila siyo una ingia ulingoni kwa kukurupuka kwa kuwa una jina , muhimu uwe na mikakati thabit, Lizer ni producer mzuri ila siyo the best kuliko wote bongo kinacho fanya anukie ni ilo uwaridi pembeni yake
Unafanya Calculated Risk, na siyo Risk as a Risk for Risk's Sake.

UBAYA NI KWAMBA, WENGI YA WANAO-COMMENT HAPA PENGINE NAO WAMEAJIRIWA KAMA LAIZER ALIVYOAJIRIWA... Na wale ambao bado hawajaajiriwa wapo bize kutafuta AJIRA hizo hizo za kuajiriwa.
SASA CHA AJABU ni kwamba, SISI HATUKO TAYARI KUACHA KAZI ZETU tulizoajiriwa, ila tupo BIZE kumshauri Laizer yeye aache kazi yake ya kuajiriwa.

HII INACHEKESHA SANA!!
MY TAKE; Laizer afanye zote za kuajiriwa na za kujiajiri pamoja, abaki Wasafi hapo hapo huku pia akiendelea kupiga "side hustle" zake nyingine za kujiajiri. Maana yeye mwenyewe alishasema yupo Free kufanya kazi na msanii yeyote wa muziki kama Pesa ipo.
 
Huyo S2Kizzy mwenyewe pia anavimba Town kwa sababu ya kupata sapoti ya hao hao akina Diamond. Ambao ndiyo wanamlipa vizuri kwa kazi anayofanya (kuwagongea beats).
ila hii Game ya Muziki wa Bongo ni ngumu sana kwa ma-producers. Kwa sababu hakuna ROYALTY BENEFITS zozote wanazopata producers (music composers) pale ambapo Beats zao zinapotumika kwa Financial Gain (Shows/Performance, Online, Advertisements etc. ).
Kwa kifupi Mamlaka ya Copyright kwa hapa Tanzania ambayo ni COSOTA imeshindwa kufanya kazi hii vizuri kuwasaidia producers (music composer) wa Bongo.
Kwa wenzetu UGHAIBUNI (Canada, Sweden, USA, France, UK etc.) hizi ROYALTY BENEFITS huwafaidisha producers (music composers). Hivyo producer anakula percentage yake kila mara Beats ikitumika kiBiashara (shows, online, matangazo etc.)
Muziki Bongo haulipi kivile kwa ma-producers, maana wasanii wengi wakubwa wanapenda vitonga (hawapendi kulipa Studio) wanapenda Beats za Bure Bure tu.
Na kuna Utitiri wa ma-producers, kwenye Mainstream Industry ya muziki wa Bongo, hivyo supply ya producers ni kubwa kuliko demand. Na hii inafanya bei ya kurekodi ishuke.
Hivyo wasanii wakubwa wengi hawapendi kulipa Studio Sessions. Sababu wanajua beats za bure tena ambazo ni ROYALTY FREE watazipata kwa wingi kwa producers wanaochipukia (producers wachanga).
Kwa kifupi hivi sasa, uzembe wa WIZARA HUSIKA na COSOTA unafanya game iwe ngumu sana kwa ma-producers (music producers) , na hata wakongwe kama akina P-FUNK na MASTER JAY huwa wanasisitiza hili sana.
Labda Producer afungue RECORDING LABEL yake aisajili kama KAMPUNI, atafute WANASHERIA wamsaidie kuandaa MIKATABA mizuri itakayomfaidisha PRODUCER pia popote pale Beats itakapotumika kuingiza Pesa (Shows, Online, Matangazo etc).
Nimalizie kusema, Wasafi haimbani Laizer kufanya kazi na wasanii wengine nje ya wasafi.
Laizer mwenyewe alishasema yupo free kufanya kazi na mtu yeyote, ni pesa yako tu!!
Rebecca 83
💯
 
Unafanya Calculated Risk, na siyo Risk as a Risk for Risk's Sake.

Ubaya ni kwamba, pengine ukute wengi ya wanao-comment hapa wameajiriwa kama Laizer alivyoajiriwa. Na wale ambao bado hawajaajiriwa wapo bize kutafuta AJIRA hizo hizo za kuajiriwa.
SASA CHA AJABU ni kwamba siye hatuko tayari kuacha kazi zetu tulizoajiriwa, ila tupo bize kumshauri Laizer yeye aache kazi yake ya kuajiriwa.

HII INACHEKESHA SANA!!
MY TAKE; Laizer afanye zote za kuajiriwa na za kujiajiri pamoja, abaki Wasafi hapo hapo huku pia akiendelea kupiga "side hustle" zake zingine. Maana yeye mwenyewe alishasema yupo Free kufanya kazi na msanii yeyote wa muziki kama Pesa ipo.
We umenena vyema zaidi Mkuu
 
Huyo S2Kizzy mwenyewe pia anavimba Town kwa sababu ya kupata sapoti ya hao hao akina Diamond. Ambao ndiyo wanamlipa vizuri kwa kazi anayofanya (kuwagongea beats).
ila hii Game ya Muziki wa Bongo ni ngumu sana kwa ma-producers. Kwa sababu hakuna ROYALTY BENEFITS zozote wanazopata producers (music composers) pale ambapo Beats zao zinapotumika kwa Financial Gain (Shows/Performance, Online, Advertisements etc. ).
Kwa kifupi Mamlaka ya Copyright kwa hapa Tanzania ambayo ni COSOTA imeshindwa kufanya kazi hii vizuri kuwasaidia producers (music composer) wa Bongo.
Kwa wenzetu UGHAIBUNI (Canada, Sweden, USA, France, UK etc.) hizi ROYALTY BENEFITS huwafaidisha producers (music composers). Hivyo producer anakula percentage yake kila mara Beats ikitumika kiBiashara (shows, online, matangazo etc.)
Muziki Bongo haulipi kivile kwa ma-producers, maana wasanii wengi wakubwa wanapenda vitonga (hawapendi kulipa Studio) wanapenda Beats za Bure Bure tu.
Na kuna Utitiri wa ma-producers, kwenye Mainstream Industry ya muziki wa Bongo, hivyo supply ya producers ni kubwa kuliko demand. Na hii inafanya bei ya kurekodi ishuke.
Hivyo wasanii wakubwa wengi hawapendi kulipa Studio Sessions. Sababu wanajua beats za bure tena ambazo ni ROYALTY FREE watazipata kwa wingi kwa producers wanaochipukia (producers wachanga).
Kwa kifupi hivi sasa, uzembe wa WIZARA HUSIKA na COSOTA unafanya game iwe ngumu sana kwa ma-producers (music producers) , na hata wakongwe kama akina P-FUNK na MASTER JAY huwa wanasisitiza hili sana.
Labda Producer afungue RECORDING LABEL yake aisajili kama KAMPUNI, atafute WANASHERIA wamsaidie kuandaa MIKATABA mizuri itakayomfaidisha PRODUCER pia popote pale Beats itakapotumika kuingiza Pesa (Shows, Online, Matangazo etc).
Nimalizie kusema, Wasafi haimbani Laizer kufanya kazi na wasanii wengine nje ya wasafi.
Laizer mwenyewe alishasema yupo free kufanya kazi na mtu yeyote, ni pesa yako tu!!
Rebecca 83
💯
 
Wengi mmegamble kusoma ingawa hakuna ajira,

mmeanzisha familia hamjui wala ku calculate mtailisha na nini.

.mmeanzisha biashara mmegamble pia, maana wengi hatuna uhakika biashara ita last next 20 years...

Ninachotaka kusema tuna gamble everyday kwenye decision zetu...

Lizer kukaa kwa Diamond kisa kuna regular income is wrong decision....

Huyo Diamond akipata siombei kifo, Lizer atafanya nini?

Hata move on??

Kwa nini asifanye ku move on sasa hivi?

Plus..

He is talented,

its sick to watch him not using his talent fully....

Mliopo humu mnasema is too risky..

Mkumbuke mimi na wewe hatuna talent...

We have nothing to loose LOL
 
Wengi mmegamble kusoma ingawa hakuna ajira,

mmeanzisha familia hamjui wala ku calculate mtailisha na nini.

.mmeanzisha biashara mmegamble pia, maana wengi hatuna uhakika biashara ita last next 20 years...

Ninachotaka kusema tuna gamble everyday kwenye decision zetu...

Lizer kukaa kwa Diamond kisa kuna regular income is wrong decision....

Huyo Diamond akipata siombei kifo, Lizer atafanya nini?

Hata move on??

Kwa nini asifanye ku move on sasa hivi?

Plus..

He is talented,

its sick to watch him not using his talent fully....

Mliopo humu mnasema is too risky..

Mkumbuke mimi na wewe hatuna talent...

We have nothing to loose LOL
Issue siyo yeye kujiajiri au kuajiriwa. Yule uwezo wake bado mdogo sana.

Anazidiwa mpaka na kina Mocco Genius.
 
Hua nikiona uzi kama huu hua hauchukui muda maneno yatatimia na utaskia kweli Laizer kaondoka
 
Ushauri mzuri sana Becky, kwa maana ya kijana kujiinua. Lakini mi ningependa kuongeza ushauri juu ya ushauri, atoke wasafi kwa kunegotiate namna ambavyo wote wanaweza kufaidika, yaani isiwe kwa maugomvi, akiwa nje wasafi wamtumie na yeye awatumie ili akuze brand yake nje ya wasafi wakati huko kampuni zote mbili zikiwa katika win-win. Kwamba kwa kazi fulani laizer anapata na wasafi wanapata kitu.

Hiki sijui nyie huwa mnakionaje, binafsi bongo huwa naona biashara nyingi haziendi au zinakufa mapema sababu ya kila mtu kashikilia na kung’ang’ania kijibiashara chake binafsi kidogo kisichokuwa/kisichosogea wala kuongezeka ubunifu, kibiashara kitaenda na kujifia. Najua kuna challenge inayosababisha Joint ventures baina ya wazawa zisifanikiwe, lakini kama vijana wadogo tunatakiwa tulichukue hili kama challenge ya kuingia kwenye sura na ulimwengu mwingine wa biashara. Nimezungumzia hiki katika uwanda mpana wa biashara kwa ujumla naweza nisiwe sahihi katika biashara ya mziki/production ya muziki, wadau mtanisahihisha.

Mtazamo wangu, ni kuwa duniani biashara zote kubwa ni za “mashirikiano”. Kama ipo ya mtu mmoja tu tutaje, moja...... mbili.......
 
Sa hivi anafanya kazi ya kumix tu,wasafi wanaimport tu mabeat
Diamond anamletea mabiti ya mfukoni.

Utasikia nataka Beat kama la Joro ya Wizkid.

Beat linachukuliwa unaimbwaibwa ujinga humi, wimbo unaitwa Jeje.

Na kwakuwa media ipo, social media zipo hata kama hutaki utasikiliza tu ngoma zetu.

Ndio maana muziki wa bongo umekuwa takataka kabisa
 
Ushauri mzuri sana Becky, kwa maana ya kijana kujiinua. Lakini mi ningependa kuongeza ushauri juu ya ushauri, atoke wasafi kwa kunegotiate namna ambavyo wote wanaweza kufaidika, yaani isiwe kwa maugomvi, akiwa nje wasafi wamtumie na yeye awatumie ili akuze brand yake nje ya wasafi wakati huko kampuni zote mbili zikiwa katika win-win. Kwamba kwa kazi fulani laizer anapata na wasafi wanapata kitu.

Hiki sijui nyie huwa mnakionaje, binafsi bongo huwa naona biashara nyingi haziendi au zinakufa mapema sababu ya kila mtu kashikilia na kung’ang’ania kijibiashara chake binafsi kidogo kisichokuwa/kisichosogea wala kuongezeka ubunifu, kibiashara kitaenda na kujifia. Najua kuna challenge inayosababisha Joint ventures baina ya wazawa zisifanikiwe, lakini kama vijana wadogo tunatakiwa tulichukue hili kama challenge ya kuingia kwenye sura na ulimwengu mwingine wa biashara. Nimezungumzia hiki katika uwanda mpana wa biashara kwa ujumla naweza nisiwe sahihi katika biashara ya mziki/production ya muziki, wadau mtanisahihisha.

Mtazamo wangu, ni kuwa duniani biashara zote kubwa ni za “mashirikiano”. Kama ipo ya mtu mmoja tu tutate, moja...... mbili.......
binti kiziwi Mara nyingi upendi kucomment zaidi ya kulike lakini ukicomment tu unaongeaga point haswa Kama umeolewa mume wako ana bahati kubwa Sana ya kukuoa mwanamke Kama wewe by the way hoja Ni nzuri na fikirishi.
 
binti kiziwi Mara nyingi upendi kucomment zaidi ya kulike lakini ukicomment tu unaongeaga point haswa Kama umeolewa mume wako ana bahati kubwa Sana ya kukuoa mwanamke Kama wewe by the way hoja Ni nzuri na fikirishi.
Asante rafiki, nafurahi namna unavyoniona..... na inanipa nguvu ya kujua labda “ni kweli” 😀😀
 
Back
Top Bottom