Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Akili za kimasikini hizi. Matajira wanapanua wigo, they are taking risk. Wanapasua vichwa, hawakai kwenye comfort zone.Acha kumpotosha Mkuu ujui anafaidika vipi katika ajira yake hiyo
NB:BORA KIDIGO CHA UHAKIKA KULIKO KINGI USICHOKUA NA UHAKIKA NACHO
Hebu fikiria Toyota angekuwa anategemea soko la Japan peke yake je leo ingekuwa kampuni kubwa?