Local cashew nut farmers to learn from their Tanzanian counterparts: Envoy says

La kushangaza sioni starving Kenyans huku ila wewe ukiwa bongo unawaona. huu uchawi wenu si wa kuchezewa๐Ÿ˜€
Hayo Magazeti niliyokutumia link yote ni magazeti ya Kenya, hao ndio wenye jukumu la kukusanya news na kuzisambaza ili Mimi na wewe tuweze kujua kinachoendelea.

Wewe unachekesha sana, kama unaishi Nairobi, yanayotokea Kisumu utayaonaje kama sio kupitia vyombo vya habari?, au hata yanayotokea hapo Nairobi, utayajua yote wewe mwenyewe?. Acha kupingana na ukweli, kuwa mpole Tafadhali katika hili.
 
Nimefuatilia sakata la hivi majuzi kuhusu korosho Tanzania na jinsi wakulima wanateseka hadi nikaona huruma.
Sijaelewa nini cha kuja kujifunza huko kama hamjawakwamua hao ndugu zenu kutoka kwenye lindi la umaskini.
Maneno ya kuambiwa haya, mtu anamzigo wa korisho wa mamilioni ya fedha, ameshidwa kuelewana bei na mteja aliyekuwa anataka kununua kwa bei ya chini, utasema huyo mkulima anateseka wakati bado ana mzigo usiooza kirahisi? Korisho ni biashara halali dunia nzima sio kama mirungi.
 
Nionyeshe ni wapi wamepewa msaada?

Siumwi ubongo, mimi sina chuki za kimaskini
 
The surplus they got from what they produce is used to buy what they don't and left with a lot on pocket..

Ndio maana wanajeuri ya kununua mahindi kwa bei ya ghali kuliko serikali yenu tukufu..
Eti what they produce bla bla bla, mzungu ndio mwenye maua na mashamba ya chai, sasa ni lini mzungu alikula ugali?

Alafu unataka serikali ya Tanzania inunue mahindi ipeleke wapi?
 
All that useless thick harder rock desert land for what? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ข "trust land" funny
 
There a lot of refugees in Kenya what do they eat if it's not this food? Kenyans do have enough produce which can sustain them .that food aid act as a supplement
What number of refugees do you have compared to Tanzania?

Tanzania gave more than 500,000 refugees citizenship and still there are hundreds of thousands refugees Tanzania serves food to them through WFP and UNHCR through local farmers.
 
Nimefuatilia sakata la hivi majuzi kuhusu korosho Tanzania na jinsi wakulima wanateseka hadi nikaona huruma.
Sijaelewa nini cha kuja kujifunza huko kama hamjawakwamua hao ndugu zenu kutoka kwenye lindi la umaskini.
Ungefuatilia mpaka wakati JPM anawakoromea wanunuzi mpaka wakatii bei ya serikali alafu useme kama kuna kiongozi wa Kenya anaweza hata kuwaza kufanya hivyo.

Mlijitutumua kupiga pini samaki za mchina, kilichompata uhuru ni yeye mwenyewe anajua
 
All that useless thick harder rock desert land for what? "trust land" funny
Its Kenya's land. The British in colonial times once wanted to establish the state of Israel right there. Tunisia, Egypt, Morroco all have land identical to that. Yet 50% of their population aren't poor like Tanzania is, with your huge arable land which is still being cultivated with medieval Jembes in this the year of our Lord.
 
Be cultivated even by tooth but we never slept hungry and always we surpass on agricultural productions moreover the land is for the common mwananchi sio mali ya wachache
 
Ungefuatilia mpaka wakati JPM anawakoromea wanunuzi mpaka wakatii bei ya serikali alafu useme kama kuna kiongozi wa Kenya anaweza hata kuwaza kufanya hivyo.

Mlijitutumua kupiga pini samaki za mchina, kilichompata uhuru ni yeye mwenyewe anajua

Maigizo ya rais kuwakoromea wanunuzi ni kitu nimezoea kuona, kwa jinsi mlizyo yaani mfupa uliomshinda fisi, Magufuli ameishia kukoromea kotekote lakini hali ni ile ile tangu mwanzo.
Halafu kilichomkuta Uhuru ni kipi labda unitaarifu maana sijui, nachofahamu ametoa agizo samaki wa Wachina wasitishwe, wana habari wakadakia na kusema China itajibu kwa kusitisha mikopo, serikali ya China ikawahi fasta kupinga kauli kama hizo kwamba haiwezi kusitisha mkopo.
 
Be cultivated even by tooth but we never slept hungry and always we surpass on agricultural productions moreover the land is for the common mwananchi sio mali ya wachache
Tumia tu kiswahili jombaa. Sasa kwani hiyo trust land inamilikiwa na nani? Hicho ndicho nilichotaka uelewe kupitia hiyo ramani. Propaganda za wanalumumba zinaendelea kuumbuka kila uchao. Hiyo shibe mnayosema mnayo huku 54.6% ya watanzania wakibaki kuwa masikini wa kutupwa ni jambo la kustaajabisha sana.
 
Siku hizi umezuka upumbavu wa watu weusi kuchukiana sisi kwa sisi bila sababu za msingi,
 
๐Ÿ˜Š You are so funny
China controls Kenya not from today no yesterday
 
Nadhani tukichimba historia lazima mababu zetu waanzilishi wa hizi nchi mbili walikua na kaugomvi fulani tu. Sio kwa mipovu ya kila siku humu kati ya nchi hizi mbili.

Kama lile ziwa nyasa lingekua mpaka wa kenya na Tz basi tungekua tushachapana mapanga muda mrefu. Ila kwa kuwa ni Malawi basi ugomvi hauwezi kutokea

Ila kwakua huku JF hakuna wakulima wa korosho na wengi wanaobishana hapa ni madalali tu wa mjini basi natumai wakulima wenzetu wa kenya watakuja kujifunza. Nawakaribisha sana huku Lindi na Ntwara.
 
Hahaha to put you clear, I use whatsoever language I feel like to, then I have told you that the so called trust desert is the useless rocky substance which I don't even count as rubbish for a common mwananchi sijui mlilogwa na nani? Ile little fertile is for special people but that rubbish is for winning trust from Kenyan goons
 
MK254 am keenly waiting for your reply on that suspension issue for more conversion

Do hurry

Hehehehe!!! To allow further consultations, assessment and development of frameworks for handling Tilapia imports.
Hapo rais wetu alikurupuka kama afanyavyo kwa kwenu, kazuia samaki wa China bila mpango wa vipi tutajitosheleza ndani bila kutegemea samaki hao wa Kichina.
 
Sio kosa lao.. 3/4 ya ardhi yao ni infertile.. Imagine kama hiyo ingekuwa kwetu tungekuwaje.
saud arabia nchi yote jangwa na huskii wananjaa na kulima wanalima๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hio robo ardhi ambayo ni arable land yote imechukuliwa na white settlers wanapanda maua kuuza kwao wakiwaacha wakenya 36% na njaa hapo unaona sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ