radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
Habari za muda huu wana jamii forum
Nahitaji mnisaidie tafadhalini,
Ninataka kuwa wakala, ila nataka sehemu yenye mkusanyiko mkubwa wa watu hapa Dar es salaam, yani yenye muingiliano wa watu ili nifungue uwakala wa pesa, kama m pesa, tigo pesa, airtel money, pia uwakala wa benk.
Sehemu nayohitaji napenda fremu nitakayoipata iwe kubwa maana nataka kuweka partition za vyumba vidogo dogo ili kila mteja ahudumiwe kwa nafasi, bajeti yangu ya fremu ni kuanzia 200k-500k,,,, Naomba kwa anaejua anisaidie location hiyo, zawadi ya shukurani itatolewa
NATANGULIZA SHUKRANI
Nahitaji mnisaidie tafadhalini,
Ninataka kuwa wakala, ila nataka sehemu yenye mkusanyiko mkubwa wa watu hapa Dar es salaam, yani yenye muingiliano wa watu ili nifungue uwakala wa pesa, kama m pesa, tigo pesa, airtel money, pia uwakala wa benk.
Sehemu nayohitaji napenda fremu nitakayoipata iwe kubwa maana nataka kuweka partition za vyumba vidogo dogo ili kila mteja ahudumiwe kwa nafasi, bajeti yangu ya fremu ni kuanzia 200k-500k,,,, Naomba kwa anaejua anisaidie location hiyo, zawadi ya shukurani itatolewa
NATANGULIZA SHUKRANI