Lockdown imezua mambo: Jamaa aita polisi wamuokoe toka kwa mpenziye anayetaka tendo kila muda

Ntakuja mwisho wa wiki tarehe 16, nipe lokesheni tuu, nnavopenda mpunga... Niandalie jiko nakuja kuupika mwenyeweee ahahahahaaa.
Kuhusu jiko usiwaze lipo had la kuni ila sipati picha iyo siku itakuaje hayo madiko diko utakavyo yaandaa.Nakuandalia kabsa na zawad ya gunia la mchele karbuuu
 
Kuhusu jiko usiwaze lipo had la kuni ila sipati picha iyo siku itakuaje hayo madiko diko utakavyo yaandaa.Nakuandalia kabsa na zawad ya gunia la mchele karbuuu

Senkyuuu hapo umenikamata najaa fastaaa..
 
Kumbuka, mpania maji hayanywi...

Hata akiyanywa hamalizi glass.... ehehehehehe

Sio maneno yangu bali ya wahenga.
Duuuh kweli mpania maji hayanywi...ila siyo siri naomba isiwe ivyo.kuhusu usalama usijari ntakulinda
 
Duuuh kweli mpania maji hayanywi...ila siyo siri naomba isiwe ivyo.kuhusu usalama usijari ntakulinda

Hakuna Matata, imarisha ulinzi tuu kibibi mie nisijepata Koronya bureee nikaanza kupiga nyungu badala ya kula ubwabwa aka ubeche...
 
Ningalikua mimi ningejifanya nimepata simu ya msiba ili nipate likizo ya wiki moja...ila kupigia polisi ni zaidi ya kushindwa....
 
Aisee hizi bahati hazitupati wakulungwa huyu ningesugua hadi nimchubue mwenyewe angetulia namlia na karanga mbichi haki ya nani kweli upele haumpati mwenye kucha
 
WAPO WALE WILD FUCKING MAN! DADA ZAKO WANAWAJUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…