Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ungewacheki boda maana mi naijua iko Kongowe inaitwa White House kaghorofa kamoja wana 10k 15k na 20kMjini
Sinza overrated.Kuna moja sinza nimeenda juzi nkakuta nyumba ya mtu nkachokaih
Hii mbinu nzuriUnalipia elfu 7 ukawe chakula ya kunguni si bora uende town utafute wale wauza kahawa wa stendi unywe gaha-wa hadi asubuhi ujue usiku ni mfupi tu ila watu hawajui wala usihangaike kutafuta pakulala
Hizo zipo ndani ndani sanaHizo ndio nazitaaka
Zipo nyingi mitaa hiyo 😅😅😅Hapo ungewacheki boda maana mi naijua iko Kongowe inaitwa White House kaghorofa kamoja wana 10k 15k na 20k
Mkuuu chabooo kila sehemuSasa wewe unataka chimbo la kunguni mixer kupigwa chabo sio lodge.