Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

Nisijevamia kama bar za masaki bado kidogo niache viatyu loh

Nilipelekwa na jamaa mmoja bar moja nkajua bia 2000 tukanywa akaaga anaenda chooni hakurudi kupiga hapatikan jumla bia 7 naletewa 35000. Pumbu zilivimba gafla nkaomba nkachukue atm wakataka simu nkawaachia

Tika sikuhio nkienda bar hata za mbagala nauliza bei kwanza
 
Kongowe ya Kibaha au karibu na Mwandege?
Kongowe ya Mbagala, karibu na Mwandege.

Ukitokea Mbagala baada ya daraja kuna kituo kinaitwa Mzinga, then Bakwata, kisha kanisani hafu Kongowe mwisho.

Sasa hapo Kongowe Mwisho, kama mita 100 kabla, kushoto kwako kuna kaghorofa unakaona ata ukiwa road.

Hamna cha parking wala nn lakini.
 
Sh n
Kongowe ya Mbagala, karibu na Mwandege.

Ukitokea Mbagala baada ya daraja kuna kituo kinaitwa Mzinga, then Bakwata, kisha kanisani hafu Kongowe mwisho.

Sasa hapo Kongowe Mwisho, kama mita 100 kabla, kushoto kwako kuna kaghorofa unakaona ata ukiwa road.

Hamna cha parking wala nn lakini.
Ngapii mkuu

Nimeona. Gorofa pumbumzogo nkashtuka
 
Kuna moja sinza nimeenda juzi nkakuta nyumba ya mtu nkachokaih
Mjini noma sana[emoji1][emoji1]umenikumbusha miaka saba iliyopita niliingia jiji moja hivi ,nikawa sijui lodge zinapatika wapi nikaona isiwe tabu ngoja niulize kwa msela mmoja hapo mtaani. Jamaa akasema kama unataka chumba nikupe geto langu nipe hela kadhaa ambayo tulikubaliana.
 
Kuna mwamba alisema humu, kaenda mkoa kakuta kitanda kama kaburi, alishusha godoro akadozi chini.
Mkuu kuna jirani hapa mbezi beach alifiwa na mkewe ana nyumba nzuri kubwa wakaombq nkachukue maiti siku tunaingia chumban sikuamini katengeneza shimokama kaburi kweka marumara na godoro chini akiamkq anapanda kangazi na n mfanyabiashara mkubwa toka sikuhio haya akinagixia bia zake sinywi namwogopa balaa kama ukoma
 
Kongowe ya Mbagala, karibu na Mwandege.

Ukitokea Mbagala baada ya daraja kuna kituo kinaitwa Mzinga, then Bakwata, kisha kanisani hafu Kongowe mwisho.

Sasa hapo Kongowe Mwisho, kama mita 100 kabla, kushoto kwako kuna kaghorofa unakaona ata ukiwa road.

Hamna cha parking wala nn lakini.
Hivi kongowe inn ni 15000 enhe🥴🥴
 
Mjini noma sana[emoji1][emoji1]umenikumbusha miaka saba iliyopita niliingia jiji moja hivi ,nikawa sijui lodge zinapatika wapi nikaona isiwe tabu ngoja niulize kwa msela mmoja hapo mtaani. Jamaa akasema kama unataka chumba nikupe geto langu nipe hela kadhaa ambayo tulikubaliana.
Wahuni sio watu

Nilikunywa sehemu kawee nikakaona katoto kamoja kula wine nkaulizia Lodge kakaniambia njoo nikupeleke ya bk 5 naingia ndan naona gorofa alijaisha kuna chumba jamaa kaweka godoro kama 3 unagonga na mwenzio anagonga pemben nyege zikantoka gafla nkampa nk 3 yake loh


Hizi nyumbaaa nasemaa kabla ya kuingia zinahitaji maombii sanaa ukichunguza sana unaweza usiamie
 
Back
Top Bottom