Lodge gani nzuri affordable Singida Mjini!

Lodge gani nzuri affordable Singida Mjini!

Acha uongo, we umelala guest..... Halafu unasema lodge... Singida


Zipo nyingi tu, 1.Ndemana Lodge ( Ipo barabara ya Arusha, mita chache kutoka stand misuna, upande wa kushoto)
2. City Garden, ipo barabara ya Dom karibu na skyway
3. BBC mpya ipo maeneo karibu na kibaoni shule ya nyingi mita chache kutoka barabara kuu ya singida-mwanza.... (Hilo eneo lina lodge nyingi sana)
Singida unadhani kuna fursa gani?
 
Singida unadhani kuna fursa gani?
Kauze diamond rock mzee,vijana wanazinywa vibaya sana,wawekee na sub woofer ya sea piano,piga ngoma za diamond na Darasa,katoni kumi hazitoshi kwa siku,biashara njema mkuu.
 
Kauze diamond rock mzee,vijana wanazinywa vibaya sana,wawekee na sub woofer ya sea piano,piga ngoma za diamond na Darasa,katoni kumi hazitoshi kwa siku,biashara njema mkuu.
Daah upo singida mkuu
 
Lodge nyingi za singida ni chaafu sana,usipotoka na mafua ni bahati yako
Shehe, Miji yote hata Dar, Arusha, Mwanza,Dodoma, Moshi nk zipo lodge Safi na Chafu, Sasa kama wewe unachagua kulala lodge chafu kwanini usitoke na Mafua?
 
Back
Top Bottom