Lodge gani nzuri affordable Singida Mjini!

Singida unadhani kuna fursa gani?
 
Singida unadhani kuna fursa gani?
Kauze diamond rock mzee,vijana wanazinywa vibaya sana,wawekee na sub woofer ya sea piano,piga ngoma za diamond na Darasa,katoni kumi hazitoshi kwa siku,biashara njema mkuu.
 
Kauze diamond rock mzee,vijana wanazinywa vibaya sana,wawekee na sub woofer ya sea piano,piga ngoma za diamond na Darasa,katoni kumi hazitoshi kwa siku,biashara njema mkuu.
Daah upo singida mkuu
 
Lodge nyingi za singida ni chaafu sana,usipotoka na mafua ni bahati yako
Shehe, Miji yote hata Dar, Arusha, Mwanza,Dodoma, Moshi nk zipo lodge Safi na Chafu, Sasa kama wewe unachagua kulala lodge chafu kwanini usitoke na Mafua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…