Countrywide π€£Hapo Blue Bird nilitandika chuma moja ya NIMR. Mambo yalikua swafi kabisa.
Ila walinipiga 60,000.
Halafu wajanja sana, ukipiga simu jikoni anapokea mdada sauti matata anakubebisha kabisa, unasema yeess ngoja alete msosi nimpange. Chakula kinaletwa na mbaba mtu mzima kweli kweli. Halafu hacheki
Hii nitaitafuta huwa nikiwa Dom napendelea Queen lodge pale Kisasa lakini B. Fast zao mzozo.Kidia hotel Dodoma haina mpinzani.
Room ni 20 kwa 40 na 60.
Asubuhi breakfast yake ni buffee unajisevia mpaka ushibe na majagi ya juice unajimimia tu.
Ukiwa na safari ya Dodoma inatakiwa ubook before inagombewa sana na wasafiri.
Msosi room service ugali na sato rost unaweza usimmalize Sato.
Unakula madenti mkui?Je zile hotel za mitaa ya Ubungo Bus Terminal?
Kibadamo, Kagame na wenzie.
Kuna siku nimepeleka manzi tulale, tumefika hadi parking akagoma kushuka. Eti anasema she is too young to sleep with me.
Tukaondoka.
Mjini akili tu[emoji23]Countrywide [emoji1787]
una namba zao mkuu?Kidia hotel Dodoma haina mpinzani.
Room ni 20 kwa 40 na 60.
Asubuhi breakfast yake ni buffee unajisevia mpaka ushibe na majagi ya juice unajimimia tu.
Ukiwa na safari ya Dodoma inatakiwa ubook before inagombewa sana na wasafiri.
Msosi room service ugali na sato rost unaweza usimmalize Sato.
Yes. Lakini ni mwanachuo. Level ya degreeUnakula madenti mkui?
Bluebird ni Hotel iliotimamu sio hotel kama za Keko chumba kidogo kqmq stoo π€£π€£π€£Hapo Blue Bird nilitandika chuma moja ya NIMR. Mambo yalikua swafi kabisa.
Ila walinipiga 60,000.
Halafu wajanja sana, ukipiga simu jikoni anapokea mdada sauti matata anakubebisha kabisa, unasema yeess ngoja alete msosi nimpange. Chakula kinaletwa na mbaba mtu mzima kweli kweli. Halafu hacheki
Nakosaje? 0764 561 214una namba zao mkuu?
Afu unakua kama hutaki tena kukaa lodge[emoji23Yaa
mkuu sambaza upendo wa mmakonde maana sis wengine matomaso.Mwenye kujua Pataya Guest ya Riverside Bei zile room kubwa sasa hivi sh ngapi au Bei zao sasa zikoje? Dadeki kuna lodge raha sana, miaka hio nililala Masasi, UK Lodge vitanda vyake dadeki nlikutana na mmakonde mnyonya pumbu acha mmakonde abaki mmakonde. Shukrani
Mkuu naomba code za hizo toto za asia za chimbo lipi?Hapo Blue bird jumamoc ntazama na toto la kihindi km vp nijivunie point mkuu, umenipa wazo zuri sn [emoji39]
Wee Ni muongo[emoji28]Nefalanda hotel friends kona manzese, ni elfu ishirini na tano chumba ila unapata royal treatment
Ha ha ha....Niliendaga kulala Landmark Hotel pale Riverside. Nikalipia 70,000/= a night.
Baada ya kufanya mapenzi na demu wangu, tukala msosi nikamsindikiza. Nikarudi room kumalizia hela yangu.
Nilijutia sana. Hela yangu iliniuma.
Blue pearl[emoji4]Kuna hotel iko nyuma ya stendi ya zamani ubungo pale. Ghorofa lefu jina nimesahau, siku hizi bei zimepoa hakuna wateja. Jina nimeisahau
ππππππdah kwahiyo umeona maelekezo hayatoshi ukaweka na map π π π π π π π π π