Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
and his disciples ππMkuu Kuna jamaa huko kakuita busy devil πΏπ
π π πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
and his disciples ππMkuu Kuna jamaa huko kakuita busy devil πΏπ
π π πππ
Dah officialBossmtoto itoshe kusema wewe ni mhuni mwenzangu .
Nimejikuta machozi yamenilenga maana hakuna lodge uliyotaja ambayo sijalala mwisho nimeona kuwa sina sababu ya kuendelea na anasa za dunia .
Ikiwa kuna mtu unajihisi unamtumikia Mungu katika roho na kweli nakuomba njoo niokoe mimi Mzinzi na malaya niliyekubuhu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ngoja nisikutenge kaka .kwakuwa wewe umefika viwango vya Apartment wacha niwakumbuke watoto wa Mbwa ili nao wapate kwa kukimbilia .Kaka kaka unaniacha mwenyewe kwenye uzinzi kaka [emoji28]. Sijapenda. Kaka mimi nimefika viwango vya kuchukua apartment kaka, unakaa na mtoto ndani anakupikia unakula na unamla [emoji16]
Hapo sasa mkuu unatafuta kufyonzwa ela na mapastafeki maana hata hum lazma watakuwepo.Dah officialBossmtoto itoshe kusema wewe ni mhuni mwenzangu .
Nimejikuta machozi yamenilenga maana hakuna lodge uliyotaja ambayo sijalala mwisho nimeona kuwa sina sababu ya kuendelea na anasa za dunia .
Ikiwa kuna mtu unajihisi unamtumikia Mungu katika roho na kweli nakuomba njoo niokoe mimi malaya niliyekubuhu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile
Shukrani sana mkuu , moyo unanishuhudia kuwa nakoseaHapo sasa mkuu unatafuta kufyonzwa ela na mapastafeki maana hata hum lazma watakuwepo.
iyo kitu hakuambii mtu uache hlf unaamka asbh umeacha. inabd uongee na kutubu kwa muumbawako akusaidie utambue kusudi lake la kukuleta duniani umlilie toka ndani ya moyo wako akurudishe kwene mistari ulioonyooka unaomwelekea yeye.
ila hata uko kutambua kuwa hauko seem sahihi ni hatua sana hngera mkuu.
Kidia hotel Dodoma haina mpinzani.Aisee wapi kuna breakfast kali? Maana muhimu kurudisha nishati uliyopotea usiku mzima
Kidia hotel Dodoma haina mpinzani.
Room ni 20 kwa 40 na 60.
Asubuhi breakfast yake ni buffee unajisevia mpaka ushibe na majagi ya juice unajimimia tu.
Ukiwa na safari ya Dodoma inatakiwa ubook before inagombewa sana na wasafiri.
Msosi room service ugali na sato rost unaweza usimmalize Sato.
Mmeanza mambo yenu, kwani jukwaa la dini haliwatoshi?Okoka umfuate Yesu
Hahahaunachapa kama unachapa nyoka mwitu.
Niliendaga kulala Landmark Hotel pale Riverside. Nikalipia 70,000/= a night.
Baada ya kufanya mapenzi na demu wangu, tukala msosi nikamsindikiza. Nikarudi room kumalizia hela yangu.
Nilijutia sana. Hela yangu iliniuma.
Sorry kumbe hili ni jukwaa la umalayaMmeanza mambo yenu, kwani jukwaa la dini haliwatoshi?