Logical thinking: CCM bila kujua, inapitia mapigo kama ya Farao, na lipo moja litakalokuja kuwaangusha(Pigo la 10)

Logical thinking: CCM bila kujua, inapitia mapigo kama ya Farao, na lipo moja litakalokuja kuwaangusha(Pigo la 10)

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Leo naomba niwaambie CCM kuwa kwa muda sasa, wamekuwa wakipata misukosuko inayotishia uhai wa CCM na CCM kuendelea kubaki madarakani huku wao wakiwa hawaelewi. Wasichokijua CCM nii kuwa, mitikisiko wanayoipitia, ni sawa na yale mapigo 10 alioyopitia Farao aliekuwa Mtawala wa Misri kabla ya pigo la 10 lililomaliza kiburi cha utawala wake na hatimae akawaruhusu wana wa Isreali kuondoka utumwani nchini Misri.

Binafsi naamini misukosuko kama ile iliyotokana na kundi la G-55(wakati wa mfumo wa chama kimoja), kashifa za CHAVDA, ESCROW, mtikisiko wa 2015 pale Lowassa na kundi walipojiondoa CCM na mengineo, ni matukio tu yaliyoitikisa CCM kiasi cha kutishia uhai wake na hata CCM kuendelea kubaki madarakani.

Naendelea kuamini mapigo haya bado yanaendelea kama ilivyokuwa kwa Farao, na liko pigo(Pigo la 10), littalokuja kuingusha CCM kutoka madarakani(hawataamini).

Je, ni hili la DP WORLD au bado kuna mengine, anaejua ni Mungu, sisi tuendelee kuomba uzima tu na tuache muda utongee.
 
Leo naomba niwaambie CCM kuwa kwa muda sasa, wamekuwa wakipata misukosuko inayotishia uhai wa CCM na CCM kuendelea kubaki madarakani huku wao wakiwa hawaelewi. Wasichokijua CCM nii kuwa, mitikisiko wanayoipitia, ni sawa na yale mapigo 10 alioyopitia Farao aliekuwa Mtawala wa Misri kabla ya pigo la 10 lililomaliza kiburi cha utawala wake na hatimae akawaruhusu wana wa Isreali kuondoka utumwani nchini Misri.

Binafsi naamini misukosuko kama ile iliyotokana na kundi la G-55(wakati wa mfumo wa chama kimoja), kashifa za Chavda, ESCROW, mtikisiko wa 2015 pale Lowassa na kundi walipojiondoa CCM na mengineo, ni matukio tu yaliyoitikisa CCM kiasi cha kutishia uhai wake na hata CCM kuendelea kubaki madarakani.

Naendelea kuamini mapigo haya bado yanaendelea kama ilivyokuwa kwa Farao, na liko pigo(Pigo la 10), littalokuja kuingusha CCM kutoka madarakani(hawataamini).

Je, ni hili la DP WORLD au bado kuna mengine, anaejua ni Mungu, sisi tuendelee kuomba uzima ti na kuacha muda uongee.
Za mwizi arobaini..!! Time will tell
 
Moses did not exist. He is just a fictional character
 
Back
Top Bottom