Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.
Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?
Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.
Picha ya hapo chini ilirushwa kwenye TV na watoto wetu walitizama.
I stand to be corrected.
Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?
Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.
Picha ya hapo chini ilirushwa kwenye TV na watoto wetu walitizama.
I stand to be corrected.