Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

Picha ya hapo chini ilirushwa kwenye TV na watoto wetu walitizama.

I stand to be corrected.

IMG_20180310_023428.jpg

IMG_20180307_123321.jpg
CEdNuuEUIAA71FX.png
 
siku zote nimekuwa nadhani ina maanisha 'Mwanaume'
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii inapenya ndani ya mmmmh.

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Tafsiri yako sio ya kila mtu.
 
hiyo alama nilidhani ni pembe labda kumaanisha nguvu. ulivosema ndo nimeiangalia tofauti.
 
Siku zote nilikua najua Mwanaume wa kweli kama dume la ng'ombe zile pembe!.. Kumbe kuna wengine mna idea ya dushe na vulva!!..
Aliyedesign hii logo yupo vizuri sana!..
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii inapenya ndani ya mmmmh.

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Huyo jamaa kushoto kama skompion wa buguruni vile
 
Huyo jamaa kushoto kama skompion wa buguruni vile
ndiye yeye huyo ..
kwani hujui kuwa Jamaa alikuwa nimshiriki wa mashindano dume condom"" na akawa mshindi
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii inapenya ndani ya mmmmh.

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Mpe habari Juliana Shonza mkuu!
 
Back
Top Bottom