Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

tupunguze kuwa makompliketa hyo logo ni ya kawaida tu
 
Hapo walichokosea ni uchoraji tu, kwa kuwa hiyo ni kondomu ya kiume ilibidi waonyeshe picha na saizi za midushe yote hata na ile yetu ya kupinda kidizaini ili tujuwe kondomu ipi inatufaa wanunuzi.
 
Mi naona kama Uke na uume , ila mpaka uwe unajua tafsiri ya ligha za picha.

Lakini sitarajii waweke picha ya chokolate wakati kazi ya hiyo kitu ni kupeana raha kwenye viungo vya uzazi
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii inapenya ndani ya mmmmh.

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Nieleze maadili ya kitanzania ndo yapi/ yakoje?
 
Ujinga huu hata wakichora ku..m..a na m.b.o.o, kwani kazi ya condom ni nini?
 
Hio ni dushe imepenya kwenye lile tundu pendwa. Tundu utyundu
 
Back
Top Bottom