Beautiful Nkosazana
Senior Member
- Oct 4, 2016
- 176
- 660
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa sisterinafaa kwenye avatar yako
maana bora wangeweka hicho kitu hapo.Poa sister
mbona hueleweki mara tigo mara ukeYaaap
Kama hunielewi si basimbona hueleweki mara tigo mara uke
Sasa watoto wetu ina wahusu nini hao watoto na kondom .Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.
Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?
Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.
I stand to be corrected.
View attachment 706444 View attachment 706445
Hiyo picha hapo chini ni kipindi kinachorushwa kwenye TV na watoto wetu wanatazamaSasa watoto wetu ina wahusu nini hao watoto na kondom .
1.wataionaje
2.tangia lini watoto chini ya miaka 16 waone kinga na huku hawatumi.
3.18 ndio watatumia 16- 17 wanajiibia tu.
So sioni shida maana wao sio watumiaji.
Mpaka waje kuielewa niwamekuwa watumiaji.
Mbona macho halina?Dume la ng'ombe ndio maana imeekwa pembe za ng'ombe
Hiyo picha hapo chini ni kipindi kinachorushwa kwenye TV na watoto wetu wanatazama
Me naona kama mapembe tu au kuna kingine.