Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

Logo ya Dume Condoms, kuna nini kimesimama juu ya herufi M. Ni sawa na maadili ya kitanzania kweli?

Vyema ungebuni wewe sio kuja kulalamika huku
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Satanic logo
 
Jaman watu mnajuaa kupotezaa muda khaaa hivi inakuwaje mtu mpkaa unachunguzaa logo ya condom???demu uliyekuwa unamsubiri hakutokea au??mpka ukaamua uanze kusoma na hayo matangazo??kwanza sisi wengine tuna tumia durex na play boy nikikosa saana natumiaa rough rider sasa wew unayepoteza muda na hayo ma logo kwanini usingesoma hata vitabu vya dini
 
Watu wafukunyuku. Dooh

Ila atakama ndio hvyo kweli sioni ubaya, mana ata logo isingekua hvyo kazi ya condom inajulikana tu kua ni vazi la dushe
 
ukiangalia kwa makini unaona icho kichwa cha mhogo kinaingizwa eneo gani? tena chuma mboga.
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Ulitaka waweke Picha ya ronaldo au?
 
Mbuzi nae unaweza mfikilia mbwa na kukimbia lakin watu wakikuuliza kinacho kukimbiza ndipo yanapokuja maswali mengi bhang kapagawa au anawaza nini?
 
Hizi logo nyingi hufichwafichwa baadhi ya vitu kuvigundua lazima uwe na kitu kichuani.
 
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania.

Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii ya kiume inapenya ndani ya nanihii ya kike, alafu herufi M ndio sehemu ya kukalia. Sio matusi haya wanaweka mbele ya watoto wetu?

Jamani kwa wale wanaojali maadili ya kitanzania, hii LOGO inahitaji kufanyiwa marekebisho kabla ya kuwekwa mbele ya kadamnasi ya umma wa watu, la sivyo ibaki huko huko kwenye pakiti za condoms zinazotumika privately.

I stand to be corrected.

View attachment 706444 View attachment 706445
Hapo ukibadilisha tu rangi nyeusi ukaipaka ktk uwawi mbili za M na ktk uwazi wa pembe ndio utaona nini jamaa anazungumzia.
 
Hiyo LOGO ina Taswira mbili

1- its a DOGGY STYLE... (my favourite)

msichana ameinama doggy (hyo alama ya juu) (chuma mboga) (mbuzi kagoma kwenda) then dume limepiga magoti kwa nyuma (M)

2-ni uume unaoingia kunako (angalia M).... tena ukiangalia vizuri unaingia kwenye ndogo
 
Back
Top Bottom