Loh! Nimetoka Segerea wadau

Kulikono mdau? JF ilikuweka Mangelepa/Lupango au?
 
Tupo pamoja kuwashikisha adabu
watawanunua sana mwaka huu..
walizoea kuvilaza vyama vya nccr, cuf , tlp wamekwama kwa CHAMA LA WATU CDM. wanapata TAAABU SANAAAAA kwa gharama kubwa. na hawatoshinda
 
watawanunua sana mwaka huu..
walizoea kuvilaza vyama vya nccr, cuf , tlp wamekwama kwa CHAMA LA WATU CDM. wanapata TAAABU SANAAAAA kwa gharama kubwa. na hawatoshinda
Wanajidanganya sana maana upinzani upo nyoyoni mwa watanzania
 
Kama sehemu ya kujikinga kwenda segerea, unaweza kutwambia ni kosa lipi lilikupeleka lupango?
 
Kama sehemu ya kujikinga kwenda segerea, unaweza kutwambia ni kosa lipi lilikupeleka lupango?
Hilo swali ni vizuri tuwaachie mods watusaidie
 
Karibu sana mkuu,huku mtaani kuna mtu anajiita jiwe,kuna mtu anatamani kuwa kiongozi wa malaika,dodoma imekuwa jiji na limeongoza mapato kuliko jiji la dar,siku hizi watu wanauza utu wao kwa vipande vya kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…