Lokole yamekukuta

Mrs Van sijamuona kwny huu uzi mpk muda huu?!
 
Numbi fungua hii code bhana, mbona siielewi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeerewa eti wamefungua mipindi chao na maimata kama shilawadu napia walipomualika konki alipoambiwa anauwakika gani akajielezea .
Na ndio akaanza kumpiga mlokole na kumchana live sihata mangi kasema umo kwenye list na wakakatisha icho kisehemu.
Wakaaga kwa woga huyo mlokole tokea maimata anze kumuliza maswali yeye kajificha nyuma ya maimata alijua atapigwa.
Nakweli alishushiwa kipigo live na konki master

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Shunie...mpaka muda huu nilivizia kichochoro labda utapita sijakuona.?I missing you dada la Mimi
 
huyo shoga anahusika na nini katika nchi yetu....?
 
Jamani mnafiatilia sana akaunti za watu insta je akaunt zenu za bank mnazo? Salio linasoma? Usiku mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…