Numbisa ww ndio katibu wa umbea nin mbona caption zenu zinafanana?,sema hata kama ni ww bado siwezi kukufahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Numbi fungua hii code bhana, mbona siielewi?Mji ushakua mzito hakii[emoji23][emoji23][emoji23] . Yule dada wa taifa alomwacha mzazi mwenzie kwa mbwembwe zotee akaenda kuolewaa na shemeji asomaneno mengi yamemkuta mazitooooooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Bwana kazaa njee afu kahamia kwa kwa mchepuko mazimaaa! Unaambiwa dada anahaha hatarii afu majibu anayopewaa ni haya (kama unaumia nikupe talaka uendee) [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mi huku namuonea huruma dada maana naona kama malipo ya instagram ndio yamewadia upande wakee[emoji849][emoji849]
Kweli kabisa obloganta ikiwa inafanya kazi oblangata haiwezi kabisaHio ni kazi ya medula obloganta ujue
Kweli kabisa obloganta ikiwa inafanya kazi oblangata haiwezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaKwenye ubuyu hutakiwi kutumia viungo sahihi na vile unavyotumia kupatia maarifa ya pesa na dili mbali mbali
UmetishaHio ni kazi ya medula obloganta ujue
Eka picha yake basi
Numbisa huyu sio wewe kweli [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unanini lakiniView attachment 1053447
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!! Kazi kweli kweli na mambo ya Instagram unayajua yote mpaka kina mange kina east walichopost huko lakini huna account duh najionea tabuuuuuuuuMkuu am christian then sina account instagram
HahahahahahahaahahahahaDuh!!! Kazi kweli kweli na mambo ya Instagram unayajua yote mpaka kina mange kina east walichopost huko lakini huna account duh najionea tabuuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app