Lokole yamekukuta

Lokole yamekukuta

Mrs Van sijamuona kwny huu uzi mpk muda huu?!
 
Mji ushakua mzito hakii[emoji23][emoji23][emoji23] . Yule dada wa taifa alomwacha mzazi mwenzie kwa mbwembwe zotee akaenda kuolewaa na shemeji asomaneno mengi yamemkuta mazitooooooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Bwana kazaa njee afu kahamia kwa kwa mchepuko mazimaaa! Unaambiwa dada anahaha hatarii afu majibu anayopewaa ni haya (kama unaumia nikupe talaka uendee) [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mi huku namuonea huruma dada maana naona kama malipo ya instagram ndio yamewadia upande wakee[emoji849][emoji849]
Numbi fungua hii code bhana, mbona siielewi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eka picha yake basi
1553428638552.png
 
Nimeerewa eti wamefungua mipindi chao na maimata kama shilawadu napia walipomualika konki alipoambiwa anauwakika gani akajielezea .
Na ndio akaanza kumpiga mlokole na kumchana live sihata mangi kasema umo kwenye list na wakakatisha icho kisehemu.
Wakaaga kwa woga huyo mlokole tokea maimata anze kumuliza maswali yeye kajificha nyuma ya maimata alijua atapigwa.
Nakweli alishushiwa kipigo live na konki master

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Shunie...mpaka muda huu nilivizia kichochoro labda utapita sijakuona.?I missing you dada la Mimi
 
huyo shoga anahusika na nini katika nchi yetu....?
 
Jamani mnafiatilia sana akaunti za watu insta je akaunt zenu za bank mnazo? Salio linasoma? Usiku mwema
 
Back
Top Bottom