Loliondo: Mwarabu wa Dubai anavyosakama Wamasai kupitia Serikali

Loliondo: Mwarabu wa Dubai anavyosakama Wamasai kupitia Serikali

Maadhimisho ya Kuuzwa Loliondo unakaribia siku ya wajinga Duniani April Fool ndio Mzee Mwinyi aliwauzia Waarabu Loliondo huku Akicheka cheka... Siku hiyo waarabu hufanya sherehe kubwa sana kuwaita wantanzania Wajinga na wengine hulikwa kabisa
 
Ndg zangu wamasai poleni sana kwa yanayowakuta kumbukeni si nyie peke yenu mnaonyanya kwa kunyan'ganya Ardhi yenu mliokuwa mnaitegemea kwa kuendeshea maisha yenu ya kila siku

Jueni kuwa sehemu kubwa ya ardhi yenye mabonde mazuri yanayofaa kwa kilimo serikali ya CCM walishawauzia MAKABAILA ambao Mwalimu JK Nyerere aliupinga kwa nguvu zote ili wananchi wa kawaida waishi kwa UHURU ktk nchi yao

Leo nchi hii imegawanwa kila sehemu wananchi wanalia, Angalia Loliondo, Karangwe ,Mbeya, Mpanda, Kibaigwa,Musoma,Geita, Nyarugusu, Urambo, Nyamongo,Nzega,Tanga na sehemu nyingine nyingi tu ambazo Watanzania wanalia kwa uwekezaji usio na faida na wananchi wa kawaida

Watanzania leo hii wanalia sana bila kujua wao wakiwa chanzo kimojawapo cha matatizo haya ambayo kwa baadae yatakuwa zaidi ya haya, kwani nadiriki kusema hivi kwa sababu
1.Wakati Mzee Mwinyi anauza mashamba haya ya Loliondo Augustine Lyatonga Mrema aliuweka wazi ufisadi huu na Watanzania walikaa kimya wakamwona Mrema mwehu,propaganda hii ya Wehu wa Mrema ilisambazwa kwa kasi ya ajabu na CCM mara Mrema havui kofia ana matatizo kichwani Watz wengi waliamini utoto huu wa CCM wakasahau kushughulikia matatizo yao ya msingi ambayo walitakiwa kuyafanya

2.Kama kawaida baada ya kupewa nchi Mkapa aliendeleza yale yale ya kuwamilikisha wageni ardhi kwa nguvu zote na baada ya kuona ardhi inaisha hatimaye viongozi CCM walianza na wao kujimilikisha ardhi kwa majina bandia mf: Mkapa anamiliki ardhi Mtwara zaidi ya ekari 1000

Sumaye pia alijimilikisha ekari nyingi Kibaigwa kwa mgongo wa wawekezaji na Lowasa hivyo hivyo

Hiyo ni mifano michache sana kwa mambo yanayofanywa na serikali chini ya CCM na bado Watz hawataki kusadiki haya na wakati tabu wanaiona kabisa na si ya kusimuliwa

Huu ujinga tulionao madhara yake ndo haya tunayaona leo hii na sio muda murefu tutaambiawa Watanzania wote sio raia halali wa nchi hii tutafute nchi yetu halisi na tutakubali tu ndipo labda tutashtuka

Ufisadi huu umeshapelekwa mara kadhaa BUNGENI lakini wabunge wetu waliowengi wanautetea mf: Bunge la mwaka jana Waziri mkuu alihusishwa moja kwa moja na uuzwaji wa ardhi ya Mpanda kule Katumba kwa sh70 tu ya Kitz kwa kila ekari na Wabunge wengi ambao ni wa CCM walipinga vika ispokuwa Filikunjombe peke yake ambaye alisimama upande wa wananchi hii inasikitisha sana


Kwa haya yanayotokea leo tusíilaumu serikali yetu tuliyoiweka kwa ridhaa yetu wenyewe tujilaumu sisi wenyewe kwa moja au nyingine kuiruhusu CCM kuendelea kutawala
 
Mgogoro wa Loliondo kati ya mwarabu na wananchi ni wa muda mrefu. Kwa sehemu kubwa unasababishwa na Serikali na viongozi wa kitaifa kwa kuona kuwa uwekezaji wa kampuni ni kwa maslahi ya Taifa. Maslahi ya taifa kwanza ndipo ya watu moja moja. Uwekezaji wa Kampuni yeyote kama hauiheshimu masalahi ya wenyeji wa eneo husika huwezi kujustify maslahi ya Taifa.

Huu mgogoro ni lazima UISHE SASA. Ni lazima wamasai waache kuogopa na kujisikia kuwa sio watanzania. Walipochomewa makazi 2009 waliitwa wakenya. Madiwani waliochaguliwa 2010 waliweka mazingira ya mahusiano kidogo lakini kampuni haijaridhika. Haikuwa suala la kufikiria kuwa wamasai baada ya kuchomewa makazi wangekaa na kuzungumza na kampuni iliyohusika. Cha ajabu walikubaliana na kampuni ya mwarabu, wakawa wanaondoa ngombe wakati wa uwindaji na mengine mengi. Wakubwa wa kampuni wanataka ardhi waliyohaidiwa na serikali. Ndio maana mgogoro hautakwisha!!

Kwa ushauri wangu ili kumaliza mgogoro huu:
(1) Serikali hasa wizara ya maliasili na utalii iondoe kabisa game controlled area katika ardhi ya vijiji vya Loliondo
(2) kampuni ipate idhini (consent sought in advance) ya vijiji ili kuwinda katika ardhi zao
(3) vijiji vikusanye mapato yote yatokanayo na uwindaji wa kampuni hii na kama serikali inataka wachukue kodi ya utalii kutoka vijijini.
 
Wamasai wa Loliondo wanaonewa kwa sababu wengi wao ni Wakristu. Tunajua nchi hii hatutakiwi.
 
Stop the Serengeti Sell Off: The Avaaz Campaign

Posted: 2 August 2012


[h=3]To President Jakaya Kikwete:[/h] As citizens from around the world, we call on you to oppose any attempt to evict Maasai from their traditional land or require them to relocate to make way for foreign hunters. We are committed to protecting the property rights of this historic tribe and will work to make sure that any threats to those rights are well-publicized and widely opposed.
In just days time, Middle Eastern kings and princes could sign a deal which would force up to 48,000 people in Tanzania's Serengeti from their land to make way for royal hunting grounds. If we act now, there's still time to stop the royals and save this group of Maasai, Africa's most famous tribe.

The last time the Maasai were pushed off their land to make way for rich hunters, people were beaten by the police, their homes were burnt to a cinder and their livestock died of starvation. The same could be about to happen again. But Tanzanian President Kikwete has shown before that he will stop deals that generate negative press coverage. This story hasn't been widely reported yet, but if we join our voices now we can force just the kind of negative media blowback that can force Kikwete to stop the deal.

Reports are breaking that Kikwete could be in the verge of signing, so we have to act fast. Sign the petition now and send to others -- when 150,000 of us sign, global and Tanzanian media outlets will be blitzed so President Kikwete gets the message to rethink this deadly deal.
 
Stop the Serengeti Sell Off: The Avaaz Campaign

Posted: 2 August 2012


To President Jakaya Kikwete:

As citizens from around the world, we call on you to oppose any attempt to evict Maasai from their traditional land or require them to relocate to make way for foreign hunters. We are committed to protecting the property rights of this historic tribe and will work to make sure that any threats to those rights are well-publicized and widely opposed.
In just days time, Middle Eastern kings and princes could sign a deal which would force up to 48,000 people in Tanzania’s Serengeti from their land to make way for royal hunting grounds. If we act now, there’s still time to stop the royals and save this group of Maasai, Africa’s most famous tribe.

The last time the Maasai were pushed off their land to make way for rich hunters, people were beaten by the police, their homes were burnt to a cinder and their livestock died of starvation. The same could be about to happen again. But Tanzanian President Kikwete has shown before that he will stop deals that generate negative press coverage. This story hasn’t been widely reported yet, but if we join our voices now we can force just the kind of negative media blowback that can force Kikwete to stop the deal.

Reports are breaking that Kikwete could be in the verge of signing, so we have to act fast. Sign the petition now and send to others -- when 150,000 of us sign, global and Tanzanian media outlets will be blitzed so President Kikwete gets the message to rethink this deadly deal.
 
Mwarabu wa Dubai anavyong'ang'ania ardhi ya Wamasai Loliondo na anusukuma Serikali hadi serikali inapinda sheria ili kumpendeza na kumtimizia haja yake.

Waziri wa Maliasili amefika Loliondo mara 3 na kila mara anasisitiza kuwa ni lazima serikali itaongea na mwarabu ili ardhi anayotumia sasa ipunguzwe kwani ardhi yote ya Loliondo ni yake.

Waziri atambue tena haki ya ardhi ya wamasai wa Loliondo, mwekezaji wa Dubai ana haki ya kuzidi ya wazawa.

Watanzania tufahamu na tuwasaidie wana Loliondo walinde ardhi yao.
Kuna 'hunting blicks' nyingi tu mchini, na wamiliki, majority kutoka maulaya, ni wakali vibaya kwa 'trespassers'! ... wanaoonekana kuwa wakali kwa 'trespassers' ni wale wa Loliondo peke Yao! ... WHY THIS SELECTIVE REPORTING?
 
Mwarabu wa Dubai anavyong'ang'ania ardhi ya Wamasai Loliondo na anusukuma Serikali hadi serikali inapinda sheria ili kumpendeza na kumtimizia haja yake.

Waziri wa Maliasili amefika Loliondo mara 3 na kila mara anasisitiza kuwa ni lazima serikali itaongea na mwarabu ili ardhi anayotumia sasa ipunguzwe kwani ardhi yote ya Loliondo ni yake.

Waziri atambue tena haki ya ardhi ya wamasai wa Loliondo, mwekezaji wa Dubai ana haki ya kuzidi ya wazawa.

Watanzania tufahamu na tuwasaidie wana Loliondo walinde ardhi yao.
hivi naomba mnieleweshe, ardhi ya loliondo mwarabu anaitumia kufanya nini? nini anachokifanya na sisi tunafaidikaje nacho? kwa mwenye uelewa naomba atufafanulie.
 
2013-2023

Mpango wa kuchukua Tanganyika jumla jumla lilikuwa sio overnight
 
hivi naomba mnieleweshe, ardhi ya loliondo mwarabu anaitumia kufanya nini? nini anachokifanya na sisi tunafaidikaje nacho? kwa mwenye uelewa naomba atufafanulie.
Zaidi ya wanyama pale
 
Hivi kweli haw ajamaa wangekuwa wantaoa hizi "OBC contributes up to TSh. 354,967,000.00 annually for community development in Loliondo."

Leo loliondo si ingekuwa DUBAI?
hata kama watatoa hiyo, mbona ni ndogo sana kulinganisha na uthamani wa maisha ya wamasai? hizo ni millions sio billions za kibongo ujue, ni hela ndogo sana sana ukilinganisha na hasara anayotutia mwarabu kwa kuiba wanyama kupeleka dubai.
 
Hakuuziwa. Alipewa bure hiyo ardhi eti ni mwekezaji. Ukiuliza amewekeza nini hupati jibu.
sasahivi Watanganyika tufunguke, tujue tangu huyo mwarabu amepewa hiyo ardhi ametufaidisha nini? na alipewapewaje. hii nchi ni ya kwetu hatutakiwi kuamuliwa cha kufanya na mzanzibar. mwinyi aliyetoa loliondo ni mzenji, sa100 naye anafanya apendavyo ni mzenji, tutajifunza lini? tupate Tanganyika yetu tujue nini cha kufanya.
 
hivi naomba mnieleweshe, ardhi ya loliondo mwarabu anaitumia kufanya nini? nini anachokifanya na sisi tunafaidikaje nacho? kwa mwenye uelewa naomba atufafanulie.
Uwindaji
 
sasa kwanini anatunyima raha nchi nzima miaka nenda rudi, na kwanini mwinyi alijilaumu kwenye kitabu chake, kuna nini alifanya fyongo, lazima kuna kitu? na tukimpora tuna hasara gani?
 
Back
Top Bottom