Wakati huo walikuwa wakicheza katika klabu gani? π π πWACHEZAJI PEKEE WANAOCHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAO WAMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAP YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI. NA YANNICK BANGALA LITOMBO MZEE WA KAZI CHAFU
Hizi chuki zote kwa Inonga kisa mchezaji wa Simba au kuna lingine?Na atabaki kuwa mchezaji pekee aliyetwaa ubingwa na DRC, Inonga asahau hilo kesho wanatolewa na Ivory Coast.
Hukui kama ni wananchi haoWakati huo walikuwa wakicheza katika klabu gani? π π π
Hujui kama ni wananchi haoHukui kama ni wananchi hao
Kwa ushabiki maandazi kama huu Uzi tutaendelea kuwa ' Kichwa cha mwendawazimu'.
Mkuu, walikuwa wanachezea vilabu vyao huko, wakati huu Inonga anaichezea Simba. Kwa ufupi Inonga anawakilisha Ligi Kuu ya NBC, hao wengine waliwakilisha Ligi ya DRCHujui kama ni wananchi hao
Utopolo ndio wajinga, Simba tupo vizuri na Inonga wetu anatuwakilisha vyema.Ila watanzania hamtakiwi kuchekana hasa ktk mpira maana wote ndio wale wale tu ...
Makolo mnashangilia drc ya sasa kwa ajiri ya Inonga
Utopolo nao hali kadhalika
Huku timu yenu kichwa cha mwendawazimu iko iko tu kama mashabiki walivyo
Hahahahahaha..rudia kusoma ulichoandika...ujue watanzania ni wajinga ..tena ujinga wa kijinga tu wanaoUtopolo ndio wajinga, Simba tupo vizuri na Inonga wetu anatuwakilisha vyema.
Sasa Bangala hachezi NBC?! This is Verbal Diarrhea.WACHEZAJI PEKEE WANAOCHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAO WAMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAP YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI. NA YANNICK BANGALA LITOMBO MZEE WA KAZI CHAFU
Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa
DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi
Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly
Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale
Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans
Olini alikuwa Diarra unasemaje hapoMantiki Iko hao wachezaji walitwaa Hilo kombe hakuwepo yanga na Azam kipindi hichi maana yake viwango vyao vilkuwa vikubwa sana ndio maana hawakuwpo kwenye hizo timu.kiufupi hawakuwa wachezaji wa hizo timu
Diarra Yuko wapiMkuu, walikuwa wanachezea vilabu vyao huko, wakati huu Inonga anaichezea Simba. Kwa ufupi Inonga anawakilisha Ligi Kuu ya NBC, hao wengine waliwakilisha Ligi ya DRC
Hivyo hivyoKwahiyo ndio pekee sio?