#COVID19 London: Maelfu waandamana dhidi ya chanjo ya Corona, uvaaji wa barakoa na lockdown

#COVID19 London: Maelfu waandamana dhidi ya chanjo ya Corona, uvaaji wa barakoa na lockdown

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Upinzani dhidi ya chanjo ya corona ñi mkubwa mno huko nchi za magharibi japo serikali zao huwa hazitangazi. Angalia maelfu wanavyoandamana mjini London. Huko watu wengi wamechanjwa na madhara yake wameyashuhudià. Halafu hapa anatokea mtu na kudai hakuna madhara!

 
Biashara ya Mbowe imebuma rasmi
Hii chanjo ni kama ina ajenda ya suri alichofanya madam kukubali ni sawa lakin alichosema ni hiari ni sawa zaidi.

Wenye nia ya kuchanjwa kwa shughuli zao acha wachanjwe na wenye awati waache pia.
 
Ifike mahali dunia ione huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine so watu waruhusiwe kwenda watakapo Ili maisha yaendelee tutakaa hivi mpaka lini?
Corona ni mambo ya siasa zaidi kwenye Uchumi yule anaetaka kusafiri apate chanjo aende atakako tumechokaaa
 
Huko magharibi chanjo imesaidia sana. Ndiyo maana unaona mashabiki wameanza kuruhusiwa kuingia viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
Hakuna kitu kama hicho. Leo uingereza wametangaza maambukizi yanaongezeka na wanasema kabisa chanjo haizuii maambukizi ila eti inapunguza watakaolazwa hospitali kwa kuzidiwa. Wakati hata bila chanjo imedhihirika wengi hupo a bila dawa yoyote na wanaolazwa kwa kuzidiwa ni asilimia ndogo sana ya walioambukizwa hata bila chanjo. Kama ni kuangalia mpira huko ulaya kwani sisi hatuangalii?
 
Huko magharibi chanjo imesaidia sana. Ndiyo maana unaona mashabiki wameanza kuruhusiwa kuingia viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
Unamaanisha ukipata chanjo huwezi ambukizwa au huwezi Pata corona au...embu tujuze vizuri jomba kwanza
 
Back
Top Bottom