Chanjo ipi tuambiane basi. .mbona takwimu Za corona bado zipo juu. Ni nchi gani hizoHuko magharibi chanjo imesaidia sana. Ndiyo maana unaona mashabiki wameanza kuruhusiwa kuingia viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanjo ipi tuambiane basi. .mbona takwimu Za corona bado zipo juu. Ni nchi gani hizoHuko magharibi chanjo imesaidia sana. Ndiyo maana unaona mashabiki wameanza kuruhusiwa kuingia viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
Mmh sasa hapo vinahusiana vipi?kwa maana ni kweli watu wameandamanaKundi kubwa la vijana wa Lumumba mnapakatwa hii ndiyo shida
Kiruhusu kichwa kifanye kazi yake.MATAGA bado hamuamini kabisa kuwa Hiwe is no More
MATAGA Bado mnaishi zama za JiweKiruhusu kichwa kifanye kazi yake.
Huyu ni Mzanzibari anashuhudia jinsi chanjo ya orona imefanya sehemj aliyochanjwa kuwa kama sumaku!! Msikilize mwenyewe.
Upinzani dhidi ya chanjo ya corona ñi mkubwa mno huko nchi za magharibi japo serikali zao huwa hazitangazi. Angalia maelfu wanavyoandamana mjini London. Huko watu wengi wamechanjwa na madhara yake wameyashuhudià. Halafu hapa anatokea mtu na kudai hakuna madhara!
Hizo zitasemwa zilikuwa awamu ya 5, hata wale watalaam inawezekanawalikuwa wanaunga juhudi.Chanjo ya covid 19,ni biashara kama biashara zingine.Sometimes tungefanya tathmini ya ile miti dawa zetu na zile covidol zetu.huenda zilikuwa ni tiba sahihi.
Upinzani dhidi ya chanjo ya corona ñi mkubwa mno huko nchi za magharibi japo serikali zao huwa hazitangazi. Angalia maelfu wanavyoandamana mjini London. Huko watu wengi wamechanjwa na madhara yake wameyashuhudià. Halafu hapa anatokea mtu na kudai hakuna madhara!
Usiseme hawana natural products. Ni sekta kubwa ya biashara huko! Hata wana faida: wanaweza kujua ni kitu gani yaliyo ndani ya hizo natural products kwa sababu kwao sheria inamlazimisha mwuuzaji kutangaza kama kuna mabaki ya madawa ya kilimo kwenye mizizi yao au la. Hapa unaweza kupata tangawizi iliyoWakituiga watakufa fasta. Sisi tuna natural products nyingi na tunamtegemea Mungu. Wao hawamjui Mungu na hawana natural products. Waige waone cha mtema kuni!
Huyu ni Mzanzibari anashuhudia jinsi chanjo ya orona imefanya sehemj aliyochanjwa kuwa kama sumaku!! Msikilize mwenyewe.
Ahahahaha kyoma
Ulaya ni kubwa.Ni nchi gani hiyo unayoisemea? na wametumia chanjo ipi ?
Siku mkigundua kuwa hata UKIMWI mlilishwa matango pori, naamini wengi watafunguka kutoka kwenye vifungo vya ARV.
ARV ni biashara kama ilivyo biashara ya chanjo ya corona.
Tofauti ni kwamba, hii chanjo imekuja zama mbaya za utandawazi — na uelewa wa watu umepanuka.
Laiti ingekuwa enzi zile za giza, hakika tungeangamia kama ambavyo maelfu wameangamizwa na ARV.
Halafu madaktari wetu wamezubaa mno, sijui hawajitambui?
Waliwezaje kulaghaiwa na huu utapeli?
Hivi hizi shule zinatusaidia kweli?
Pole mkurungwa kwa mawazo hko kumbe unaangalia mpira?Huko magharibi chanjo imesaidia sana. Ndiyo maana unaona mashabiki wameanza kuruhusiwa kuingia viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
Hujui kusoma rudi darasaniMATAGA bado hamuamini kabisa kuwa Hiwe is no More