Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Kama unajichanganya, ni ugonjwa kama magonjwa mengine, Au ni mambo ya siasa?!Ifike mahali dunia ione huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine so watu waruhusiwe kwenda watakapo Ili maisha yaendelee tutakaa hivi mpaka lini?
Corona ni mambo ya siasa zaidi kwenye Uchumi yule anaetaka kusafiri apate chanjo aende atakako tumechokaaa