#COVID19 London: Maelfu waandamana dhidi ya chanjo ya Corona, uvaaji wa barakoa na lockdown

Ifike mahali dunia ione huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine so watu waruhusiwe kwenda watakapo Ili maisha yaendelee tutakaa hivi mpaka lini?
Corona ni mambo ya siasa zaidi kwenye Uchumi yule anaetaka kusafiri apate chanjo aende atakako tumechokaaa
Kama unajichanganya, ni ugonjwa kama magonjwa mengine, Au ni mambo ya siasa?!
 
Umemjibu vizuri, wachangiaji wengi kuhusu haya mambo ya Chanjo wanaongozwa na chuki dhidi ya Magufuli, sio kitu kingine. Hakunaga kitu kizuri chenye proves kama Sayansi, sayansi haidanganyi. Kwenye issues za corona, mwendazake nampa tano, nampa 100%; yule mwamba alisoma Sayansi na akaielewa na sayansi ilimuelewa. Kuna uongo mwingi sana kwenye haya mambo ya corona, watu wametengeneza tatizo ili watajirike. Jana Uganda wamegundulika wanazika majeneza yasiokua na watu, imagine, unamdanganya nani na ili iwaje? RIP JPM, kwa mambo ya corona, nilikukubali sana mjomba.
 

Wajinga wako kila kona sio Ulaya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…