London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)

Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.

Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.

Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)

 
USICHOKIJUA KILA DAKIKA WATU 15,000 WANAOKOKA ( WANAKABIDHI MAISHA YAO KWA YESU).
IMG_20220513_173034_3.jpg
 
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani.... utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)

Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa

Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa huku misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ya makanisa hayo kufungwa ni idadi inayopungua sana kwa wakristo wa ulaya kutohudhuria makanisani na sababu ya misikiti mingi kujengwa ni bidii waliyonayo waislam kwenda misikitini.


Kwani lengo la hizi dini ni nini? Unazifahamu?
 
Wenzenu wanapofunga makanisa msiwaone wajinga washajua ukweli kuwa habari za Mungu ni upimbi

Wajanja washa sanuka nyie mnakwama wapi ebu Shtukeni na nyie
Kwa ufupi , Wakristo wengi ulaya wamechoka na makanisa kuruhusu ushoga na kufungisha ndoa wasagaji ....
 
Back
Top Bottom