Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Jambo la kheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota, YESU ni MUNGUAlhamdullilah......Safari hii wanakubali bila mapanga.
Jabir reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:
أُمِرْتُ أَنْ أُقَاتِلَ النَّاسَ حَتَّى يَقُولُوا لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ فَإِذَا قَالُوا لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ عَصَمُوا مِنِّي دِمَاءَهُمْ وَأَمْوَالَهُمْ إِلَّا بِحَقِّهَا وَحِسَابُهُمْ عَلَى اللَّهِ
I have been commanded to fight the people until they say there is no God but Allah, so when they say there is no God but Allah then their lives and wealth are protected from my sword, except by right of justice, and their reckoning is with Allah
Mkuu nakusudia ni kwa lugha ipi unayotaka Allah ahubiriwe, kusema wewe ni wa lugha gani ni kukuuliza kwani weye unatumia lugha gani.mimi ni lugha tena
kwani naota?? Au makanisa hayafungwi?Endelea kuota, YESU ni MUNGU
Kabla ya kujiuliza lengo la dini, jiulize kwanini upo duniani?Kwani lengo la hizi dini ni nini? Unazifahamu?
kwani naota?? Au makanisa hayafungwi?
Unabishana na mkiristo mwenzako huyo Mcqueenen sio muislamu yeye kazi yake kila mada ya Uislamu anajivika uislamu kwa lengo la kukashifu hivyo asikukusumbue.Tatizo mnahangaika na majengo...YESU anakaa rohoni mwa watu..
Ikimaanisha kuwa mwanadamu ni hekalu la YESU...
Hii takwimu yako umetoa wapUSICHOKIJUA KILA DAKIKA WATU 15,000 WANAOKOKA ( WANAKABIDHI MAISHA YAO KWA YESU).View attachment 2229402
Hapa ndio tunapokwama wakristo Yesu anakuwaje Mungu?,mm dhehebu langu ni Roman Catholic ila kuna mambo huwa sikubaliani nayo,kwa mfano kwenye kitabu cha Mwanzo tunaambiwa kabisa Mungu hajazaa wala kuzaliwa alikuwepo tokea enzi,hapo hapo tena tunaambiwa Yesu ni Mungu,inakuingia akilini kweliEndelea kuota, YESU ni MUNGU
Kuna watu wana pakuana vinyesi kama waarabunani aendelee kwenda kanisani kwa hali hii, ndio maana wengi wanaona bora makanisa yawe misikiti tu.
View attachment 2229480
Pepo where,when,how,huko kuua wenzenu wasio na hatia kila kukicha ndio Pepo mnayofundishwa,kiruuuuuuWanaokoka ni wakristo wenzenu kwa asilimia kubwa na waisilamu kidogo sana wenye tamaa ya maisha ya Dunia. Uisilamu haumuhubiri mtu sijui kuwa na maisha mazuri,nyumba au gari.Uisilamu unahubiri pepo
Kabla ya kujiuliza lengo la dini, jiulize kwanini upo duniani?
Lengo hasa la wewe kuwa duniani ni nini?
Ni coincidence tu ama Umeumbwa?
Tupa ubongo wako huo haraka umejaa uchafu mtupu.Hapa ndio tunapokwama wakristo Yesu anakuwaje Mungu?,mm dhehebu langu ni Roman Catholic ila kuna mambo huwa sikubaliani nayo,kwa mfano kwenye kitabu cha Mwanzo tunaambiwa kabisa Mungu hajazaa wala kuzaliwa alikuwepo tokea enzi,hapo hapo tena tunaambiwa Yesu ni Mungu,inakuingia akilini kweli