wenye majina ya kidhungu/kiarabu hawawezi kukimbia...hao wenye asili yao ndio wamefuzu.
ujiunge kikosi cha kuogelea sasa homie...
umemuacha amekupita hivi hivi?
yani wewe.....
Na bado Berlin inamngojea October,,,sema kukafungaManze kijana amekafunga!!!
sawa...wakiweka poll system nitakupigia kura.Hapa niko baharini napiga makasia kama samaki...
Nasubiria Olymic inayokuja utasikia jina la Kasinde.
acha kudandia trophy za watu, subiri ushinde na wewe upate.....Tunajadiliana hapa jinsi yaku gawana Doh. ...ukifika mwisho useme.
acha kudandia trophy za watu, subiri ushinde na wewe upate.....
nimeshaghaili tayari siendi mwisho narudi nyumbani.
unifanyie maombi nipate pumzi za kuogelea basi,
We Achana na matusi. KIPROCHECH NI NINI HIYOHivi inakuwaje hao wakimbiaji wote wana majina ya kilugha, ila huoni wenyewe majina ya kikristo au ya kiislam? ( achilia mambo ya dini).
Kiprochech, kipchoge,kosgei....is it one of the requirement Uwe na kina la kilugha?
But I like it, huwa nawaza mfano Mie ningekuwa kinara wa kuogelea kwenye mashindano at tennis, mnanisoma Kasinde from Tanzania.... Yeey.
We Achana na matusi. KIPROCHECH NI NINI HIYO
sawa...wakiweka poll system nitakupigia kura.
bora mimi, unahitaji maombi si bure...jiunge swimming club umsindikize Kasie next Olympic kama sio mashindano ya kanda za juu kaskazini. ....au nyanda za kati?
Hahahahahaaa usiniambie hilo jina ni tusi....
Hamna jina kama hilo mwanzo
Kama ikiwa na yeye ajiunge kuogelea namtosa, ila kama atakuwa mpenz mtazamaji namkaribisha sanaa.
Kwani yeye anajua kuogelea?
kuongelea nahisi anajua, namwonaga kwenye bath tub na hajawahi kuzama....[emoji85][emoji85][emoji85]
Mr Miller njoo useme kama natania