Lonely Me...... Nimefiwa na baba yangu

Lonely Me...... Nimefiwa na baba yangu

Pole sana Buji...msiba utakuwa wapi ili nione kama naweza kuja...
 
Pole sana mpendwa. Mungu akutangulie katika safari yako akujaze nguvu, akujaze faraja na matumaini pia. Tufikishie pole zetu ufikapo tupo nanyi katika hili kwa maombi.
 
Mkuu, hakika uko kwny wakti mgumu sana.
Jikaze kiume mkuu, na usafiri ukampumzishe mzee wako.
Mungu atawalaye sasa na akufariji, na akuvushe salama kwenye kadhia hii. Tuko pamoja sana.
 
pole sana Bujibuji,mimi ni shabiki wa post zako hapa JF!
 
pole sana mkuu, wote watakuacha lakini JF ipo kwa ajili yako.
 
pole mkuu, jipe moyo na ufanye yakupasayo ktk hilo.
 
Pole sana ndugu. I can only imagine how sad this must be to you, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi. Sina neno la kusema ila kumbuka bibilia inasema: a faith and knowledge resting on the hope of eternal life, which God, who does not lie, promised before the beginning of time (Titus 1:2), Na pia faham ya kwamba kuna ahadi ya kuonana tena: Revelation 21:4: He will wipe every tear from their eyes. There will be no more death or mourning or crying or pain, for the old order of things has passed away."
Be strong na jaribu kujichanganya

amen.....
 
Pole sana Buji, Mwenyezi Mungu akupeni subira katika kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana mkuu.
Mungu akutie nguvu, na kwake yeye ukapate kuuona ukuu wake.
 
kaka pole sana, yeye katangulia mbinguni kwenye raha,pasipo na mateso.
 
Back
Top Bottom