Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mulungu akutongele namhala!
RIP Ba Mdogo Bujibuji!
RIP Ba Mdogo Bujibuji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Buji...msiba utakuwa wapi ili nione kama naweza kuja...
Pole sana ndugu. I can only imagine how sad this must be to you, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi. Sina neno la kusema ila kumbuka bibilia inasema: a faith and knowledge resting on the hope of eternal life, which God, who does not lie, promised before the beginning of time (Titus 1:2), Na pia faham ya kwamba kuna ahadi ya kuonana tena: Revelation 21:4: He will wipe every tear from their eyes. There will be no more death or mourning or crying or pain, for the old order of things has passed away."
Be strong na jaribu kujichanganya
Pole sana Buji...msiba utakuwa wapi ili nione kama naweza kuja...
Mkuu, hakika uko kwny wakti mgumu sana.
Jikaze kiume mkuu, na usafiri ukampumzishe mzee wako.
Mungu atawalaye sasa na akufariji, na akuvushe salama kwenye kadhia hii. Tuko pamoja sana.
pole sana Bujibuji,mimi ni shabiki wa post zako hapa JF!