Muhimu haiondoki hata akichepukaπππ ni ngumu kumeza babu , ila itabidi iwe hivyo kwa dunia ya sasa ya kuchakarikia fursa mkiwekeana vichwa tu mtakula mawe.
Usiniponze DNi mind tu dada hauishi milele
Ilomradi tu...Unalianzisha tu ilimradiπ€£
Hata wa sasa mkuu, usituchafue tafadhali π€£π€£Labda enzi za kina Hitler
π π πππHebu huko!
Sasa huyo ni mke au incubator?nishazoea nikirudi naweka mimba na kuondoka ,watoto wanne Sasa mengine sitaki kuyajua
Wadada wakichaga nyie mahusiano ya mbali mnayaweza sna cha muhimu pesa itumwe tuππHivi huwa ni nini lakini?π€£π€£π€£
Maana mimi naweza kuleta Drama hadi najiambia hapana... nimeenda mbali
Mbona kuna watu malaya na wanafanikiwa sana tuUsiniponze D
Hatufanani wengine ndo chanzo cha anguko laoMbona kuna watu malaya na wanafanikiwa sana tu
Kujifariji kwingiii unatumbukia kwenye uraibu wa kujichuaPoleni sanaπ€£π€£π€£
Mmmmmmh....Wadada wakichaga nyie mahusiano ya mbali mnayaweza sna cha muhimu pesa itumwe tuππ
Hebu waambie kwanin unalitaka la karibu???Mmmmmmh....
Mahali niko sahii Mahusiano ya mbali hapana Wakwetu...
Hela naitaka na husiano la karibu nalitaka...
Jamii forum sio sehemu ya kuomba ushauri aiseeπShauri yako, wenzio wanaishi nae kiroho safi π€£π€£π€£
Haiwezekani uwe mbali umwazie mwenza wako kutopigwa au kupiga ....Kabisa mkuu ukishaanza kuwaza anatafunwa mara sijui sasa ivi kabidukia wapi ujue haupo bize
Yohimbe bark njoo ufukuze hii mtuKujifariji kwingiii unatumbukia kwenye uraibu wa kujichua
MmmhhhTunakaribia mwaka, nampenda sana.
Nina furaha na amani, kikubwa ni mawasiliano imara basi.
Ndio maana nikamwambia zamani niliamini hivyo lakini nimejiridhisha si kweli.Mbona kuna watu malaya na wanafanikiwa sana tu
Umeharibika wa kwetu ππ , utasikia baba nani unafanya nini huku nyumbani kachakarike huko mjini kama wanaume wenzakoπMmmmmmh....
Mahali niko sahii Mahusiano ya mbali hapana Wakwetu...
Hela naitaka na husiano la karibu nalitaka...
ππNimewahi kuwa na long distance relationship iliyodumu miaka 1,2 hadi 3
Nilichogundua pamoja na kuwasiliana Kwa simu wakati mwingine kutumiana nudes lakini haisaidii kitu.
Yaani utaishia kumtia nyege binti wa watu huko alipo kisha kujikuta akimtunuku jamaa mwingine ili kushusha nyege ulizompandisha Kwa video calls ama sex chat
Ndiyo maana sisi Wazee tulikuja na msemo wa "Fimbo ya mbali haiui Nyoka"
Ni vingi D...Hebu waambie kwanin unalitaka la karibu???