"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Nyie mtadumu....
Mizaha ya namna hiyo inanogesha penzi..
Tusipodumu kwa hatua tuliyofikia na umri huu itakuwa kichekesho..! Na kabinti ketu tukapeleke wapi tukikimbiana..? Ila akili yake naipenda si mchezo.

Mimi wakuambiwa
"kidali poo kalale nacho muda wa kulala"?
"Dolidoli nyonyo"?

Muda wa kulala yeye muda huu yuko kazini anaweka simu kwa holder iwe kwa video call muda mwingi aone usingizi ninavyokoroma.🤣
 
Unakuta Jamaa Yuko mkoani anajifanya Yuko busy Sana mawasiliano dhaifu alafu unakuta binti ofisin Kuna Mwamba Nampa attention anamuongelesha kila saa anamchekesha anamtania Tania anamsifia Sifia mwishowe Moyo Wa binti unahama .. mapenzi Ni starehe
😁😁😁 wewe bana hauwezi zuia hiyo hali kamwe ,kama wewe ndie ni wewe tu.
 
Tusipodumu kwa hatua tuliyofikia na umri huu itakuwa kichekesho..! Na kabinti ketu tukapeleke wapi tukikimbiana..? Ila akili yake naipenda si mchezo.

Mimi wakuambiwa
"kidali poo kalale nacho muda wa kulala"?
"Dolidoli nyonyo"?

Muda wa kulala yeye muda huu yuko kazini anaweka simu kwa holder iwe kwa video call muda mwingi aone usingizi ninavyokoroma.🤣
😝😝😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom