"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

😝😝😝😝😝😝😝😝 matajiri wengi wana wanawake wengi mnooo na bado wanaendelea tu mbele
 
Kabisa babu cha msingi ipo na haiondoki , ni yangu tu ,akija mwingine ni mpangaji tu , mtu angekua anaibeba , panapaki hakuna kitu ndio nitawaza😁
 
Hii ndio pointi kubwaaaaa umemaliza
Ukweli mchunguu
 
Kabisa babu cha msingi ipo na haiondoki , ni yangu tu ,akija mwingine ni mpangaji tu , mtu angekua anaibeba , panapaki hakuna kitu ndio nitawaza😁
Ni kweli Mkuu.....

Japo hakuna kitu kinauma kama kusikia Kuna jamaa alimwagia ndani Kwa baby wako halafu wewe ukaenda kupiga deki kesho yake πŸ™†

Utapiga mswaki Kila Siku Kila ukikumbuka 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…