Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
🤣🤣🤣🤣🤣Umeharibika wa kwetu 😁😁 , utasikia baba nani unafanya nini huku nyumbani kachakarike huko mjini kama wanaume wenzako😁
Sasa si tupo naye mjini Wakwetu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Umeharibika wa kwetu 😁😁 , utasikia baba nani unafanya nini huku nyumbani kachakarike huko mjini kama wanaume wenzako😁
We mapenzi ya mbali huyawezi,Ni vingi D...
Kikubwa hasa siwezi kukaa naye mbali...Kuna vitu huwa najaribu kufikiria asingekuwa karibu ningeviweza vipi naona ingekuwa ngumu....
Nampenda mno...Uuuuuwiiii😀
Hapo sawa.🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa si tupo naye mjini Wakwetu..
Unakuta umempigisha stori za kumtia nyege halafu wewe upo mbali..
Jamii forum ilivyokua ya ajabu unaweza kuta huyu ndio manzi wangu anacomment hivi😁😁Yohimbe bark njoo ufukuze hii mtu
😝😝😝😝😝😝😝😝 matajiri wengi wana wanawake wengi mnooo na bado wanaendelea tu mbeleNdio maana nikamwambia zamani niliamini hivyo lakini nimejiridhisha si kweli.
Mwanangu mmoja anaishi USA akituwa Bongo kama ni mwezi mmoja kila siku anabadili pisi na sometime siku moja pisi mbili tofauti na ndio kwanza anazidi kufanikiwa, hakuna cha maroho wala mapepo wala nuksi.
Wabongo tunarogana sana halafu tunasingizia vitu vingine.
Kabisa babu cha msingi ipo na haiondoki , ni yangu tu ,akija mwingine ni mpangaji tu , mtu angekua anaibeba , panapaki hakuna kitu ndio nitawaza😁Muhimu haiondoki hata akichepuka
Kuna Kijana mmoja wa hovyo aliwahi kuimba eti haina makombo 🙌
Kwa maisha ya sasa, suala la utafutaji liwe kipaumbele chenu wote
Mkiendekeza kuwaza kuibiwa mnaweza mkashindwa kufanya maisha wakati umri wa kutafuta ni sasa. Mwanamke akiamua kucheat anaweza kuchiti hata akienda supermarket
Muhimu uaminifu Kwa Kila mmoja wenu mkijua kwamba tunayo maradhi ya kila aina ambayo ukipata itakuwa gharama kujitibu
Hapo kwenye vingi mbona hutaji cha muhimu we unapenda mizagamuo sana ndio maana ya mbali huweziNi vingi D...
Kikubwa hasa siwezi kukaa naye mbali...Kuna vitu huwa najaribu kufikiria asingekuwa karibu ningeviweza vipi naona ingekuwa ngumu....
Nampenda mno...Uuuuuwiiii😀
Hii ndio pointi kubwaaaaa umemalizaNimewahi kuwa na long distance relationship iliyodumu miaka 1,2 hadi 3
Nilichogundua pamoja na kuwasiliana Kwa simu wakati mwingine kutumiana nudes lakini haisaidii kitu.
Yaani utaishia kumtia nyege binti wa watu huko alipo kisha kujikuta akimtunuku jamaa mwingine ili kushusha nyege ulizompandisha Kwa video calls ama sex chat
Ndiyo maana sisi Wazee tulikuja na msemo wa "Fimbo ya mbali haiui Nyoka"
Hivi unajua kuna muda ukifika unajipenda sana wewe na unakuwa huna hofuSuala la kucheat ni maamuzi ila wanaume ni ngumu kutoboa kuliko wanawake,
sis Kuna kile kipind Cha kati ya mwezi ukishinda Hilo pepo sikuhizo wewe peponi kabisa 😀😀😀
Sio ngumu kutoboa tu , yani haiwezekani kabisa kama ulishaonja asali lazima ulipo utachonga mzinga tu.Suala la kucheat ni maamuzi ila wanaume ni ngumu kutoboa kuliko wanawake,
sis Kuna kile kipind Cha kati ya mwezi ukishinda Hilo pepo sikuhizo wewe peponi kabisa 😀😀😀
Inawezekana ukiamua japo Kwa mbindeSio ngumu kutoboa tu , yani haiwezekani kabisa kama ulishaonja asali lazima ulipo utachonga mzinga tu.
We jamaa bhana 😂Sio ngumu kutoboa tu , yani haiwezekani kabisa kama ulishaonja asali lazima ulipo utachonga mzinga tu.
🤣🤣🤣hapo unasikia karoho kanakwambia tafuta demu wewe acha kujifanya mtume PetroJamii forum ilivyokua ya ajabu unaweza kuta huyu ndio manzi wangu anacomment hivi😁😁
Mimi ni mwanaume nakuambia haiwezekani ila wewe wa kike unasema inawezekana haya bhna😁😁😁😁😁😁Inawezekana ukiamua japo Kwa mbinde
Kwani nasema uongo?We jamaa bhana 😂
Ni kweli Mkuu.....Kabisa babu cha msingi ipo na haiondoki , ni yangu tu ,akija mwingine ni mpangaji tu , mtu angekua anaibeba , panapaki hakuna kitu ndio nitawaza😁