Real kabisa alafu ishu ya sex ni fikra mm naona Zaidi ukiweka mawazo sana hapo hata sikumoja kulala pekeyako utaona mwaka ni kupotezea tu japo kuna muda mwili ndio huamua Zaid hiki kipind ndo kigumu akili Huwa haitaki Tena 😀😀Hivi unajua kuna muda ukifika unajipenda sana wewe na unakuwa huna hofu
Huo ndo uhalisia!Unajua kuna umri hutakiwi kujibana kuhusu mizagamuo mwili unakuwa unahitaji
Mpaji mungu mtoe huyo ni wale wale😁Halafu humu jamiiforums. Kuna watu wanatumia id kama watu wa dini sanaaa afu kila siku wanaonekana kuchangia mada za mapenzi kama Yesu Anakuja Mtumishi wa Bwana Mpaji Mungu na wengine kama hao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ninachoona ni kuassume upo peke yako mengine unamuachia sir God tuu.🤣🤣🤣hapo unasikia karoho kanakwambia tafuta demu wewe acha kujifanya mtume Petro
Sasa kipindi hicho mwili unaamua unacheka hovyo na kila mwanaume unamuona anakuvutia achaneni na nyege nyie halaf mwanaume yupo mbali 😝😝😝Real kabisa alafu ishu ya sex ni fikra mm naona Zaidi ukiweka mawazo sana hapo hata sikumoja kulala pekeyako utaona mwaka ni kupotezea tu japo kunamwili ndio huamua Zaid hiki kipind ndo kigumu akili Huwa haitaki Tena 😀😀
Ni mwendo wa kucheka Cheka ovyo tu🤣🤣🤣
Sheikh izudin 😃😃Huo ndo uhalisia!
Msosi unakula vizuri, Account balance sio mbaya, mahitaji mengine yote unapata ujinyime kunyandua? Tank likijaaa linavokereketa vile ndo ukae na nyege miezi mitatu kwel?
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo nalo si lipo wazi kabisa D....Hapo kwenye vingi mbona hutaji cha muhimu we unapenda mizagamuo sana ndio maana ya mbali huwezi
Hautakiwi kusikia mkuu ,wala kusikiliza mkuu , wewe jua inachapwa tu hata kama haichapwi babu 😁Ni kweli Mkuu.....
Japo hakuna kitu kinauma kama kusikia Kuna jamaa alimwagia ndani Kwa baby wako halafu wewe ukaenda kupiga deki kesho yake 🙆
Utapiga mswaki Kila Siku Kila ukikumbuka 😜
😝😝😝Huo ndo uhalisia!
Msosi unakula vizuri, Account balance sio mbaya, mahitaji mengine yote unapata ujinyime kunyandua? Tank likijaaa linavokereketa vile ndo ukae na nyege miezi mitatu kwel?
Mara paap umelamba hamira tayari😂😂😂Sasa kipindi hicho mwili unaamua unacheka hovyo na kila mwanaume unamuona anakuvutia achaneni na nyege nyie halaf mwanaume yupo mbali 😝😝😝
Kabisa Dear...We mapenzi ya mbali huyawezi,
Kumbe sio peke yangu aisee yaan kuanzia 30 nimebadilika kila kitu nafurahia maisha bana🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo nalo si lipo wazi kabisa D....
Kwenye 30's si unajua inakuwa kama wadudu wanatembea kwenye Damu😀
Ila we mzee😁😁😁Ni kweli Mkuu.....
Japo hakuna kitu kinauma kama kusikia Kuna jamaa alimwagia ndani Kwa baby wako halafu wewe ukaenda kupiga deki kesho yake 🙆
Utapiga mswaki Kila Siku Kila ukikumbuka 😜
Kabisa, fanya kile unachotakiwa kufanya kwani mahusiano mangapi watu wanalala na kuamka pamoja ila usaliti ni km dozi?Ninachoona ni kuassume upo peke yako mengine unamuachia sir God tuu.
Acha tu kumbe sio mim peke yangu tupo wengi🤣🤣🤣Hatari Yani ukiskia sauti nzito alafu aweke mbembelezo unahis kichwa kinapata moto 🤣🤣🤣
Hata hivyo bora tumezeeka sasa vinginevyo na huu wivu wangu sijui kama ningeweza kuvumilia kuchapiwa 🙌😅Hautakiwi kusikia mkuu ,wala kusikiliza mkuu , wewe jua inachapwa tu hata kama haichapwi babu 😁
Koh Koh Koh ........hii Kiko ya leo inafanya nikohoe sana yaani 🙌Ila we mzee😁😁😁
Kwa kweli mapenzi Yana wenyeweNa wengi wanaangukia hapa🤣🤣🤣pagumu na pabaya mno hapo sitaki kupasikia