"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Hivi unajua kuna muda ukifika unajipenda sana wewe na unakuwa huna hofu
Real kabisa alafu ishu ya sex ni fikra mm naona Zaidi ukiweka mawazo sana hapo hata sikumoja kulala pekeyako utaona mwaka ni kupotezea tu japo kuna muda mwili ndio huamua Zaid hiki kipind ndo kigumu akili Huwa haitaki Tena 😀😀
Ni mwendo wa kucheka Cheka ovyo tu🤣🤣🤣
 
Real kabisa alafu ishu ya sex ni fikra mm naona Zaidi ukiweka mawazo sana hapo hata sikumoja kulala pekeyako utaona mwaka ni kupotezea tu japo kunamwili ndio huamua Zaid hiki kipind ndo kigumu akili Huwa haitaki Tena 😀😀
Ni mwendo wa kucheka Cheka ovyo tu🤣🤣🤣
Sasa kipindi hicho mwili unaamua unacheka hovyo na kila mwanaume unamuona anakuvutia achaneni na nyege nyie halaf mwanaume yupo mbali 😝😝😝
 
Huo ndo uhalisia!

Msosi unakula vizuri, Account balance sio mbaya, mahitaji mengine yote unapata ujinyime kunyandua? Tank likijaaa linavokereketa vile ndo ukae na nyege miezi mitatu kwel?
Sheikh izudin 😃😃
 
Ni kweli Mkuu.....

Japo hakuna kitu kinauma kama kusikia Kuna jamaa alimwagia ndani Kwa baby wako halafu wewe ukaenda kupiga deki kesho yake 🙆

Utapiga mswaki Kila Siku Kila ukikumbuka 😜
Hautakiwi kusikia mkuu ,wala kusikiliza mkuu , wewe jua inachapwa tu hata kama haichapwi babu 😁
 
Almost 14 months.

It was unexpected. We met once. We had constant communication, show affection, loving, caring and supporting each other during good and bad times. Just recently, he told me La roche nimechoka your bad attitude and blah blah nyingi. but i know myself i’m a good girl 😂

It’s painful and difficult to accept it from someone you talked to everyday and now he’s gone…
 
Back
Top Bottom