"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Ni vingi D...
Kikubwa hasa siwezi kukaa naye mbali...Kuna vitu huwa najaribu kufikiria asingekuwa karibu ningeviweza vipi naona ingekuwa ngumu....

Nampenda mno...UuuuuwiiiišŸ˜€
Anakaaje mbali, tunayaitaje mahusiano ya mbali...huwa hayana afya wala, na akitaka kupunguza maji ya rejeta aende gereji ipi wakati kila mwezi lazima walau x2 rejeta isafishwe..watu waache masihara🤣🤣🤣

Kwa mara ya kwanza nasoma...nampenda mno..uwiii..🤣🤣
 
Anakaaje mbali, tunayaitaje mahusiano ya mbali...huwa hayana afya wala, na akitaka kupunguza maji ya rejeta aende gereji ipi wakati kila mwezi lazima walau x2 rejeta isafishwe..watu waache masihara🤣🤣🤣

Kwa mara ya kwanza nasoma...nampenda mno..uwiii..🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nampenda mnoooo.....
Mailoooooood
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣NNampenda mnoooo.....
Mailoooooood
Hadi ukayaandika humu, hii inaweza kuwa na ukweli 100%🤣🤣🤣

Imekuwaje huyu mwamba ukampa moyo wote namna hii, huogopi? Nijulishwe tu mambo yakigaribika, huwa nina taaluma ya kutuliza mioyo iliyovunjika🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom