Anakaaje mbali, tunayaitaje mahusiano ya mbali...huwa hayana afya wala, na akitaka kupunguza maji ya rejeta aende gereji ipi wakati kila mwezi lazima walau x2 rejeta isafishwe..watu waache masihara🤣🤣🤣Ni vingi D...
Kikubwa hasa siwezi kukaa naye mbali...Kuna vitu huwa najaribu kufikiria asingekuwa karibu ningeviweza vipi naona ingekuwa ngumu....
Nampenda mno...Uuuuuwiiii😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣sawaTapeliiii🤣
🤣🤣🤣Kwanza ulimuhurumia tu, vinajionaga vidume kumbe ni vitoto vyenye ndevu
Mnaonana kila baada ya mda gani mkuu?LONG DISTANCE RELATIONSHIP yangu ina miaka 20 sasa, japokuwa changamoto hazikosekani, ila naiappriciate sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nampenda mnoooo.....Anakaaje mbali, tunayaitaje mahusiano ya mbali...huwa hayana afya wala, na akitaka kupunguza maji ya rejeta aende gereji ipi wakati kila mwezi lazima walau x2 rejeta isafishwe..watu waache masihara🤣🤣🤣
Kwa mara ya kwanza nasoma...nampenda mno..uwiii..🤣🤣
Miezi kadhaa, mfano saiv nna miezi 10 sijamwonaMnaonana kila baada ya mda gani mkuu?
🤣🤣🤣Shujaa wetu jf🤣🤣🤣
Kwani kuna shido Mahi?🤣🤣🤣🤣
Kumbe inawezekanaMiezi kadhaa, mfano saiv nna miezi 10 sijamwona
Hadi ukayaandika humu, hii inaweza kuwa na ukweli 100%🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣NNampenda mnoooo.....
Mailoooooood
Na mimi je?Sema umenipa ushauri mzuri, from now on wewe ni best yangu.
Achana nae huyu,🤣🤣 kwani wapare wote wafupi mkuu?No doubts is Pare 🏃♀️
….Ofcourse YES 😂Achana nae huyu,🤣🤣 kwani wapare wote wafupi mkuu?
Hatujui kupenda, kudekeza, kuwekana? Hatujui???….Ofcourse YES 😂
Kwani wewe mfupi bebi?🤣🤣🤣Ila huwa unanichukia sana we katoto🤣🤣🤣
Kwani ule ufupi wangu unakukwaza sana?🤣