"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Hadi ukayaandika humu, hii inaweza kuwa na ukweli 100%🤣🤣🤣

Imekuwaje huyu mwamba ukampa moyo wote namna hii, huogopi? Nijulishwe tu mambo yakigaribika, huwa nina taaluma ya kutuliza mioyo iliyovunjika🤣🤣🤣
Kama mimi nilivyoubwaga wangu 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…