Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣Mniombeee....huyu siyo mimi...
Nimejimalisaaa😅
Bora tu, nitapumua sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mniombeee....huyu siyo mimi...
Nimejimalisaaa😅
🤣🤣🤣🤣 Kizuri kula na nduguzo!Sema kuna vile viuno mnatupa kunako 6×6 tukiwaza kua kuna mwingine anapewa maumivu yake acha tuu😁
Acha izo mkuuMkuu,
Kama yupo Dar, wala usiumize kichwa sana, ngumu sana yeye kuitunza kwa ajili yako tu. Lazima kuna mwana anachezea papa mara moja moja..
Kwaiyo mkuu unamind mods kukusaidia 😂😂😂Mods wa jf bwana so nyie ndio mnajua kuedit sana sio.
Akili zenu nyie🤣🤣🤣🤣 Kizuri kula na nduguzo!
Ulweli ni mchungu ila unaponya, hakina Ke anayeishi Dar akakaa mwaka bila kuguswa, labda anaumwa!Acha izo mkuu
Wanazidi kunichanganya.Kwaiyo mkuu unamind mods kukusaidia 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bora tu, nitapumua sasa!
Na nmelala kwako leo😳We kuja geto hutaki
Anakaa kibamba huko mbali na mji isitoshe anakaa kwa mama yake mdogo, usalama upo kidogo.Ulweli ni mchungu ila unaponya, hakina Ke anayeishi Dar akakaa mwaka bila kuguswa, labda anaumwa!
Na vinagubu hatari nasikia😁😁We uliona wapi mpare mrefu🤣🤣🤣
Kama mimi nilivyoubwaga wangu 🤣🤣🤣Hadi ukayaandika humu, hii inaweza kuwa na ukweli 100%🤣🤣🤣
Imekuwaje huyu mwamba ukampa moyo wote namna hii, huogopi? Nijulishwe tu mambo yakigaribika, huwa nina taaluma ya kutuliza mioyo iliyovunjika🤣🤣🤣
Mko vizuri 😉Toa jihu linaloeleweka La Roche, tunataka kuwakata vilimi wanaotusema vibaya🤣🤣🤣
Mandela & winnie walidumu miaka 27 Moja akiwa gerezanii ila wakashindwana ndani ya miaka miwili wakiwa pamojaKwanini mkuu?
Matapeli wa mapenzi