The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Huku tuna pm mkuu na sio dm 😂😂miaka minne hujacheat
hebu nitumie picha yako dm nina kazi naww
Dah pole inauma sana, ila likuepukalo lina heri angekuoa huenda msingedumu au angekupiga matukio makubwa zaidi ya hapoYalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
ulivo mbeya utaweza kutulia kwene ndoa kweliHuku tuna pm mkuu na sio dm 😂😂
Point of correction
Nakubali mkuu, ila issue ya genye huwa mnapambana nayo vipi? Maana dahKila kitu kinawezekana, zingatia mawasiliano ya karibu tu ukiona ameanza/umeanza kupunguza simu ama kuchat ujue kuna mtu wa 3 anaingia hapo,
Khaaa tumekua mbwa tangu lini tena?Dah pole sana mkuu, wanaume wote ni UMBWA😁
Mbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuuNakubali mkuu, ila issue ya genye huwa mnapambana nayo vipi? Maana dah
Babu naona unapigilia msumali wa mwisho kwenye jeneza sasa, mimi na mkwe wako tunapendana aisee😁Nimewahi kuwa na long distance relationship iliyodumu miaka 1,2 hadi 3
Nilichogundua pamoja na kuwasiliana Kwa simu wakati mwingine kutumiana nudes lakini haisaidii kitu.
Yaani utaishia kumtia nyege binti wa watu huko alipo kisha kujikuta akimtunuku jamaa mwingine ili kushusha nyege ulizompandisha Kwa video calls ama sex chat
Ndiyo maana sisi Wazee tulikuja na msemo wa "Fimbo ya mbali haiui Nyoka"
Mbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuuNakubali mkuu, ila issue ya genye huwa mnapambana nayo vipi? Maana dah
Mkuu kukaza huwezi kabisa.Miezi mi3, hapo nishaona kila aina ya rangi.
Ikabidi ninyoshe mikono kua it was not fit for me, ila popote ulipa Miss T. Thanks for ur love.
Genye hazina cha jinsia mkuu.Mbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuu
Kupunguza machungu au kupunguza genye?Yalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
Hapo ndipo kipengele, siwezi mzungumzia yeye ila mimi nilitoboa, selfie zilihusika kuokoa jahazi, pia niliona km mwanzoni hasa ule mwaka 1 ndo mwili ulikuwa una genye sana baada ya kupita huo muda mwili unapoa genye zinakuja ila sio kwa nguvu sana,Nakubali mkuu, ila issue ya genye huwa mnapambana nayo vipi? Maana dah
Nampa moyo bibie mkuu😁Khaaa tumekua mbwa tangu lini tena?
Vyote havijatokea mkuu ila sasa hivi naona sms za "nimekumiss" zimekua nyingi kutoka kwa mwenzangu.Twambie wewe kwanza, ushatenda? Au umetendwa?