"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Hapana bro, pisi kali kukaa peke yake karibu mwaka mzima ujue probability ya kutokusaliti ni ndogo, kibaya zaidi ae anakutegemea financially kwa kiasi flani.

Wao wenyewe huwa wanajua huyo mwanaume huko aliko ana mtu cause they know wanaume wanapenda kuzagamua.

Mi siamini sana kwenye hizi mambo.
Mkuu na ni pisi kali tako lipo yani ni full wasiwasi ila ngoja nione.
 
Ajipige selfie, aoge maji baridi, akande punani yake kwa maji ya uvuguvugu kwenye mwaka na nusu mwili utazoea hizo genye zitapungua kasi,

Huu ndo muda unatakiwa ukaze mawasiliano sana hata akiingia toilet mpigie, video call, ukaribu wa kinawasiliano utamsaidia kuona unamjali na akili yake iwe kwako tu, ukilegea tu wahuni watamgonga kwa kutumia genye zako, kifuatacho ni majuto

Kama hamna ulazima sishauri mapenzi ya mbali mtaishia kulaumiana tu
Yanaharibu sana unakuwa addiction na nyeto
 
Tatizo lingine yupo daslamu hapo ndio nachoka kabisa, ila tutafika tuu. Shukrani.
Mi naona dar ndo sehemu rahisi kwa mwanamke kutulia maana maisha ya mjini tu ni hekaheka tosha, pia wanawake ni wengi na wazuri kiasi wanaume wana machaguo mengi, tofauti na huko miji midogo wanawake wachache hivyo inafanya wawe wa kugombania kama na mchuchu nae anavutia mji mzima utamtaka yeye tu
 
Mi naona dar ndo sehemu rahisi kwa mwanamke kutulia maana maisha ya mjini tu ni hekaheka tosha, pia wanawake ni wengi na wazuri kiasi wanaume wana machaguo mengi, tofauti na huko miji midogo wanawake wachache hivyo inafanya wawe wa kugombania kama na mchuchu nae anavutia mji mzima utamtaka yeye tu
Mkuu kwenye harusi yetu kadi yako ipo kabisa, ila babu Grahams sitaki kumuona.
 
Me tulifahamiana mwaka wa 2020 tukaa hadi 2022 mwshoni nkaja kumzingua kwa hasira zangu wakat huo mm npo Morogoro yeye yupo Rock city Mwanza mm nkaendelea na mahusiano mengne na yeye kwa hasira akapata kajamaa huko.

Mwaka jana mwshoni akanichek akankuta Single na yeye aldai ameshindwa kunisahau na amefanya visa had wameachana akafunga safari had Morogoro tukaa week1 akarejea Mwanza, now tupo kwenye harakt za kuoana tupo wote Mwanza.

NOTE:HUYU MANZI ALIKOSEA NAMBA TU NDIO IKAWA MWANZO WA MM NA YEYE KUFAHAMIANA.
 
Back
Top Bottom