Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ndo inabidi D, ukiweza kuvumilia tamaa za kimwili basi hamna kitu kitakushindaUnajua kuna umri hutakiwi kujibana kuhusu mizagamuo mwili unakuwa unahitaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo inabidi D, ukiweza kuvumilia tamaa za kimwili basi hamna kitu kitakushindaUnajua kuna umri hutakiwi kujibana kuhusu mizagamuo mwili unakuwa unahitaji
Ni kazi lakini angalau anakuwa anajua Kuna Cha kupoteza akijilipua kuliko uchumba wa ahadi ya kuoana.Hata wanandoa wenyewe ni kazi.
haha kweli nilikuwa naogopa kumsaliti pili nilimpenda kutoka rohoni. ila kanifanya kuwa dungaembemiaka minne hujacheat
hebu nitumie picha yako dm nina kazi naww
Nyie mtadumu kwasababu kila mtu kashahangaika huko sasa mmeamua kutulia pamojaMe tulifahamiana mwaka wa 2020 tukaa hadi 2022 mwshoni nkaja kumzingua kwa hasira zangu wakat huo mm npo Morogoro yeye yupo Rock city Mwanza mm nkaendelea na mahusiano mengne na yeye kwa hasira akapata kajamaa huko.
Mwaka jana mwshoni akanichek akankuta Single na yeye aldai ameshindwa kunisahau na amefanya visa had wameachana akafunga safari had Morogoro tukaa week1 akarejea Mwanza, now tupo kwenye harakt za kuoana tupo wote Mwanza.
NOTE:HUYU MANZI ALIKOSEA NAMBA TU NDIO IKAWA MWANZO WA MM NA YEYE KUFAHAMIANA.
Mzee wangu hakuwahi kukaa na mama alikua anaweka mimba na kusepa ila watoto wote ni wake , zaman watu walijua kuvumiliana na walikua na upendo wa kweli.Ndo inabidi D, ukiweza kuvumilia tamaa za kimwili basi hamna kitu kitakushinda
Mimi ni miaka miwili, ila ndiyo namuacha kila siku na tunarudiana 😆😆😆😆😆😆 Long distance relationship si ya kila mtu. Ila kwa uwezo wake Mungu, tutafika tunakokwenda.
Comment zako zinanipa moyo sana hujui tuu.Ndo inabidi D, ukiweza kuvumilia tamaa za kimwili basi hamna kitu kitakushinda
Hahahaha............pole Mkuu, hata sisi tumewahi kupitia hiyo hali tena miaka yetu hata simu za kupigiana mara Kwa mara hazikwepo lakini tuliweza kuvuka😁😁 babu umetumwa eeee haha
Kwaajili yako labda sio kwaajili ya mtu utajuta kujitunza kisa mtu utajilaumu sanaNdo inabidi D, ukiweza kuvumilia tamaa za kimwili basi hamna kitu kitakushinda
Ila wanawake mlivyo utashangaa jamaa akarudi kwa kupiga magoti na kulia ukamsamehe kabisa.haha kweli nilikuwa naogopa kumsaliti pili nilimpenda kutoka rohoni. ila kanifanya kuwa dungaembe
njoo kwangu sasahaha kweli nilikuwa naogopa kumsaliti pili nilimpenda kutoka rohoni. ila kanifanya kuwa dungaembe
Mpaka sasa inawezekana japo si kwa kiwango km miaka hiyo,Mzee wangu hakuwahi kukaa na mama alikua anaweka mimba na kusepa ila watoto wote ni wake , zaman watu walijua kuvumiliana na walikua na upendo wa kweli.
Mnakuwa kama Umeme wa Tanesco Leo upo Jioni hakuna 😜Mimi ni miaka miwili, ila ndiyo namuacha kila siku na tunarudiana 😆😆😆😆😆😆 Long distance relationship si ya kila mtu. Ila kwa uwezo wake Mungu, tutafika tunakokwenda.
Kumbe na wewe tajiri mapenzi yanakuchanganya kidogo😁? Vp iyo miaka miwili ni bila mizagamuano kabisa?Mimi ni miaka miwili, ila ndiyo namuacha kila siku na tunarudiana 😆😆😆😆😆😆 Long distance relationship si ya kila mtu. Ila kwa uwezo wake Mungu, tutafika tunakokwenda.
Waambue vijana waoe/kuolewa,waaachane na vijambazi vya mapenzi vitawaua.Kwa Dunia ya sasa ni ngumu sana mahusiano ya mbali yakadumu. Labda iwe kama mlishakula viapo vya Ndoa
Lakini kama ni Uchumba wa kuitana baby baby nina uhakika wa asilimia 85 ya hayo mahusiano kutofika mbali
Hebu fikiria mpenzi wako ana magroup ya Whatsapp kama 7 hivi, yakiwemo yale ambayo wanatumiana nudes ambazo zinaweza kumfanya atamani kulalwa ama kumlala mtu.
Halafu wewe unajifanya Mwamba Kwa kumpigisha nudes video calls ama sex chats ambazo zitamfanya awe wet
Yaani hapo akikutana na fine boy yeyote anamtunuku tunda 😜
Mna mda gani hamjakutana mkuu?Aiseeeeeh !
Tunawasiliana kila muda kama tumekutana jana , ametoka kuniringishia "nyonyo" kwa video call na yuko kazini muda huu.
Hiyo kama ulivyosema ilikuwa zamaniMzee wangu hakuwahi kukaa na mama alikua anaweka mimba na kusepa ila watoto wote ni wake , zaman watu walijua kuvumiliana na walikua na upendo wa kweli.
Ushaanza mkuu.njoo kwangu sasa
Nakwambia kitu nilichowahi kukiishi, hata mie mwanzoni sikudhani km ningeweza ila niliweza na ilikuwa mahusiano ya kawaida baada ya mwaka ndipo akaniposa....miaka 3 tukakutanaComment zako zinanipa moyo sana hujui tuu.