Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema nilizikosa daah kuna muda jf ilikuwa inasumbua flani hivii hukuComments zake huko juu zilikua za kunikandamiza yani.
acheni kupeana faraja
namana hii mnachemka sana vKwanini mkuu
😅🏃🏃🏃🏃Hofyoooo
acheni kupeana faraja
namana hii mnachemka sana vKwanini mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣bora weee msema kweli
Ule wewe mwoga 😂😂😂😂 yaani utajigonga gonga meno hayooNa humo ndio huwa tunapitia sisi wanaume wa mikoani, kusema kweli tunakula sana madem wa dar na mihasira yao ya kuachwa
Mimi nilikaa miez 8 Kila mmoja akfuata ustaarabu wakeHabari wakuu,
Mpaka sasa nipo mbali na shemeji yenu ni mwaka sasa hatujaonana sababu ya issue za utafutaji japo mawasiliano yapo strong kiasi chake.
Ila mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
mwanamke ukimpa kisogo tuh tayari analiwa mudahuohuoKwanini mkuu?
Kwanini sasa umng'oe meno?Muambie huyo kijana nang'oa incisors(meno ya mbele yoote) akasemee vizuri kwa gifted
Alimtongoza mods 🤣🤣🤣Ndo naona saivi ujue,
We mshamba_hachekwi ulifanyag nin mzee
Anaingilia penzi langu 😂😂😂Kwanini sasa umng'oe meno?
Me nna hela kaka😂Chai hii 🍵 😂😂
Mfike wapi? Hakuna mahali mnaenda🤣🤣🤣Amina na tutafika tuu.
Daaah hii kali nimecheka kiseeelaaa aiseee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alimtongoza mods 🤣🤣🤣
Uwakika mkuuMe nna hela kaka😂
Tena Kibamba, kwisha kazi...huenda tulishamaliza kazi kama majirani🤣🤣🤣Hivi na kibamba ipo dar kweli?😁
Yohimbe bark hutoboi rafiki yangu, hadi wa mikoani wanawamendea🤣🤣🤣Na humo ndio huwa tunapitia sisi wanaume wa mikoani, kusema kweli tunakula sana madem wa dar na mihasira yao ya kuachwa