Imekuwaje tena Washikaji?
😁😁😁 Leo mmenipania aisee, ila sikumkuta bikra.Tena Kibamba, kwisha kazi...huenda tulishamaliza kazi kama majirani🤣🤣🤣
ata hao wengine hawawezi sema wanatuenjoy tuu hapa🤣🤣🤣🤣🤣
Aaah mie siwezi, nisiwe muongo.
😁😁😁 Leo mmenipania aisee, ila sikumkuta bikra.Tena Kibamba, kwisha kazi...huenda tulishamaliza kazi kama majirani🤣🤣🤣
mie nipo tegeta kibaoni jamani. karibuni mnitembelee warembo🤣🤣🤣🤣🤣 Ndio, tena karibu na mzabzab
🤣🤣🤣 Aaah haihitaji hasira. Tulia usaidiwe majukumu.Anaingilia penzi langu 😂😂😂
Hatuna hizo pigo, tunajua kupenda!!
Na humo ndio tunapitiag sisi waoga, ukiniacha na shemeji tu, Mimbaa na mtoto anafanana na wewe si ukoo mmoja😂Ule wewe mwoga 😂😂😂😂 yaani utajigonga gonga meno hayoo
Jipe moyo🤣🤣Jamaa ni mzee wa mipira iliyokufa yeye pisi kali hana mda nazo😁
Mkuu card yako ipo kwenye harusi yetu😁😁Mfike wapi? Hakuna mahali mnaenda🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 Kumbe kuna msimamizi wa kike, ama kweli mshamba_hachekwi ni mwamba 😂Alimtongoza mods 🤣🤣🤣
Mtembelee shemeji yako, uende ukamfariji.mie nipo tegeta kibaoni jamani. karibuni mnitembelee warembo
Isiwe ya mchango lakini🤣🤣Mkuu card yako ipo kwenye harusi yetu😁😁