Tuoneeni Wazee huruma Mjukuu, Mimi na Mzee mwenzangu ERoni hatuna hizo tabia mbaya🤗
Mmeshindwa kumfundisha kijana wenu Yohimbe bark ndo kwanza mpo kumkandia ila si mnaujua mziki wetu na sisi tukiamua😅😅😅Juzi tu umetoka kuniambia nina pigo za kilokole, leo unanikana kweli🤣🤣🤣
Nadhani niko jirani zaidi, na huyo atakuwa mpwa tu. Naomba contact zake mkuu Yohimbe bark
Story tu mheshimiwaImekuwaje tena Washikaji?
Ndioooo, mkamfariji wifi jamani🤣🤣Nadhani niko jirani zaidi, na huyo atakuwa mpwa tu. Naomba contact zake mkuu Yohimbe bark
Hawa wazee ujana wao walikua wasanii sana😁Mmeshindwa kumfundisha kijana wenu Yohimbe bark ndo kwanza mpo kumkandia ila si mnaujua mziki wetu na sisi tukiamua😅😅😅
Ohooooo vijana wa Arusha tena!! Wale hawana ya kula mbakishie baba🙆🙆🙆😁😁 kipenzi changu yupo arusha by now, next stop mwanza kwa mme wake wa maisha.
Mkuu hivi lengo lako hasa hapa kwenye uzi wangu ni nini aisee😁😁 dahNdioooo, mkamfariji wifi jamani🤣🤣
Ndo wanafanya wanawake tuwe mabondia na mabandidu! Mungu anawaonaHawa wazee ujana wao walikua wasanii sana😁
Mkuu sitaki kuua bila kukusudia😁Nadhani niko jirani zaidi, na huyo atakuwa mpwa tu. Naomba contact zake mkuu Yohimbe bark
Wee nimeyatimba kumbe,🤣🤣🤣🤣 Na huyo ndio mwenyekiti wao🙆
Hahahahaha angalia usije kutumiwa meseji ya it's too late, akawa kapata mwingineHabari wakuu,
Mpaka sasa nipo mbali na shemeji yenu ni mwaka sasa hatujaonana sababu ya issue za utafutaji japo mawasiliano yapo strong kiasi chake.
Ila mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
Wazee wanatamani hadi wake wa wajukuu wao😁Ndo wanafanya wanawake tuwe mabondia na mabandidu! Mungu anawaona
Wewe tena sio wanne tu ni timu ya watu 11 kocha wa 12Long distance relationship inaweza ikafanya kazi endapo wote wanne mkaaminiana na kukubaliana
Hawezi namuamini.Hahahahaha angalia usije kutumiwa meseji ya it's too late, akawa kapata mwingine
Nawaweka kwenye maombi wamenitisha ujueWazee wanatamani hadi wake wa wajukuu wao😁