Mnaweza kusalitiana mkiwa hapo hapo ndani , shida inakuja michakato ya kimaisha ndio inawaweka mbali , funga pingu za maisha hata akichepuka atarudi tu cha muhimu bado ipo haijatoweka.Ni ngumu sana kama mmoja ndie anaempenda mwenzie sana.asilimia 98 yamejawa na usaliti mzito.sishauri mahusiano ya mbali
Mi nilijiona bikira Maria mtakatifu nilikuwa msafi wa mwili hadi roho hata ndoto nikawa naota km niko mbinguni, ngono inachafuaga hekalu la bwana kumbe🤣🤣Bila kuonana wala kujigjig, ila yataisha ni kuvumilia tu, kama mnapendana mnavumiliana. Ila unakuwa kama mchunga kondoo 🤣🤣🤣🤣🤣
Yeye anakupenda sana?Tunakaribia mwaka, nampenda sana.
Nina furaha na amani, kikubwa ni mawasiliano imara basi.
Ndiyo hivyo Mkuu, hatuwezi kushindana na nyakatiInasikitisha na kufurahisha.
***** huu usenge ninaoushuhudia huku unanikatisha tamaa ya kuingia kwenye husiano wallah 😢😢Mnaweza kusalitiana mkiwa hapo hapo ndani , shida inakuja michakato ya kimaisha ndio inawaweka mbali , funga pingu za maisha hata akichepuka atarudi tu cha muhimu bado ipo haijatoweka.
Na wengi wanaangukia hapa🤣🤣🤣pagumu na pabaya mno hapo sitaki kupasikiaUsiombe mnuniane kweny Hiyo long distance
Tusipodumu kwa hatua tuliyofikia na umri huu itakuwa kichekesho..! Na kabinti ketu tukapeleke wapi tukikimbiana..? Ila akili yake naipenda si mchezo.Nyie mtadumu....
Mizaha ya namna hiyo inanogesha penzi..
Lakin ngono inakufanya ujione mbichi unakuwa mwepesi na unarelax kichwaMi nilijiona bikira Maria mtakatifu nilikuwa msafi wa mwili hadi roho hata ndoto nikawa naota km niko mbinguni, ngono inachafuaga hekalu la bwana kumbe🤣🤣
Wazee wa konywe😀Kuwa na imani na Wazee Mjukuu 😜
😁😁😁 wewe bana hauwezi zuia hiyo hali kamwe ,kama wewe ndie ni wewe tu.Unakuta Jamaa Yuko mkoani anajifanya Yuko busy Sana mawasiliano dhaifu alafu unakuta binti ofisin Kuna Mwamba Nampa attention anamuongelesha kila saa anamchekesha anamtania Tania anamsifia Sifia mwishowe Moyo Wa binti unahama .. mapenzi Ni starehe
😝😝😝😝😝😝Tusipodumu kwa hatua tuliyofikia na umri huu itakuwa kichekesho..! Na kabinti ketu tukapeleke wapi tukikimbiana..? Ila akili yake naipenda si mchezo.
Mimi wakuambiwa
"kidali poo kalale nacho muda wa kulala"?
"Dolidoli nyonyo"?
Muda wa kulala yeye muda huu yuko kazini anaweka simu kwa holder iwe kwa video call muda mwingi aone usingizi ninavyokoroma.🤣
Nyie si mambwa🤣🤣🤣mbinguni hamuingiiNi kweli ila nyie wanawake mnaweza kumudu uvumilivu , ila kwa sisi lazima tushushe window tu😁
Shindikana🤣🤣🤣Kabisa...
Mimi hadi huwa najiapiza niache...
Ila vinashindikana🤣
Siyo kweli trust me, hakuna mwanaume anayependa drama na hiyo ndio inaweza kuwa sababu ya mwanaume kucheat.🤣🤣🤣🤣tunakuwaga na wazimu wanawake, ila Inasemekana mapenzi bila drama ujue kuna maigizo hampendani,
Uzuri mmoja kwetu kupunguza uzito hakujawahi ondoa upendo kwa wale tunaowapenda , uzito tunashusha na bado kupendwa utapendwa tu😁Nyie si mambwa🤣🤣🤣mbinguni hamuingii
Unalianzisha tu ilimradi🤣Drama za Ma first born hazinaga muamuzi..
Ni unafanya Drama hadi ukijifikiria unaona siyo wewe🤣🤣🤣
Hii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogoSiyo kweli trust me, hakuna mwanaume anayependa drama na hiyo ndio inaweza kuwa sababu ya mwanaume kucheat.
Ni tamu🤓Lakin ngono inakufanya ujione mbichi unakuwa mwepesi na unarelax kichwa
Sir tunamsikiliza shera shera sprinkle sprinkleHii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogo