Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
🥳🥳🥳🥳Hii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥳🥳🥳🥳Hii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogo
Si unajua umri wetu umesogea, sio rahisi kukumbuka...Sasa mbona hazingatii🙆
Hebu huko!Kumbuka Mimi ni Mzee lakini 😜
Ile tu kushikwa na jinsia tofauti kunaleta hali nzuri sana na inaondoa upwkeeNi tamu🤓
Wewe tena shindikana!!Si unajua umri wetu umesogea, sio rahisi kukumbuka...
Mtumie hilo desa limsaidie asipate ugonjwa wa Moyo na Presha kama Mimi 🤗
Na mimi nimekupa ya kiumeni, usishangae kwa nini pub zinajaza nyomi daily wanaume hawapendi kelele wanakwenda kupiga gambe na kuna vitoto vizuri tu vinakupa good time, wewe endelea na drama zako.Hii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogo
😁😁 unakosa vingi kwa sababu ya uoga wako tu ,raha ya mahusiano ni pamoja na hizo pilika pilika .***** huu usenge ninaoushuhudia huku unanikatisha tamaa ya kuingia kwenye husiano wallah 😢😢
Tatizo marohoooo😅😅😅wengine kiroho inatutesa km ni maendeleo yanakata, mikosi ndo usiseme sasa utachagua uburudishe mwili au nafsi?Lakin ngono inakufanya ujione mbichi unakuwa mwepesi na unarelax kichwa
Ni mind tu dada hauishi mileleTatizo marohoooo😅😅😅wengine kiroho inatutesa km ni maendeleo yanakata, mikosi ndo usiseme sasa utachagua uburudishe mwili au nafsi?
Hili nilikuwa naamini lakini mtazamo wangu umebadirika au labda lipo applicable Africa tu ususani Tanzania.Tatizo marohoooo😅😅😅wengine kiroho inatutesa km ni maendeleo yanakata, mikosi ndo usiseme sasa utachagua uburudishe mwili au nafsi?
Labda enzi za kina HitlerMbona wanasema wanawake wanastahimili sana hisia zao kuliko wanaume mkuu
💯Labda enzi za kina Hitler
Wewe unachanganya gubu na dramaNa mimi nimekupa ya kiumeni, usishangae kwa nini pub zinajaza nyomi daily wanaume hawapendi kelele wanakwenda kupiga gambe na kuna vitoto vizuri tu vinakupa good time, wewe endelea na drama zako.
😂😂😂nishazoea nikirudi naweka mimba na kuondoka ,watoto wanne Sasa mengine sitaki kuyajua
Poleni sana🤣🤣🤣Kiukweli hayo mapenzi yanaleta upweke mnoo wa kihisia na kimwili
Kabisa mkuu ukishaanza kuwaza anatafunwa mara sijui sasa ivi kabidukia wapi ujue haupo bizenishazoea nikirudi naweka mimba na kuondoka ,watoto wanne Sasa mengine sitaki kuyajua