"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Hii inafanya kazi kikeni mkuu, mwanamke asiekuletea drama kuwa makini nae, tupo hivyo tukipenda lazima upitishwe kwenye drama kidogo
Na mimi nimekupa ya kiumeni, usishangae kwa nini pub zinajaza nyomi daily wanaume hawapendi kelele wanakwenda kupiga gambe na kuna vitoto vizuri tu vinakupa good time, wewe endelea na drama zako.
 
Na mimi nimekupa ya kiumeni, usishangae kwa nini pub zinajaza nyomi daily wanaume hawapendi kelele wanakwenda kupiga gambe na kuna vitoto vizuri tu vinakupa good time, wewe endelea na drama zako.
Wewe unachanganya gubu na drama

😅😅😅kale ka mbembelezo baada ya drama huwa mnakapenda sana hako ndo nakozungumzia mimi
 
Back
Top Bottom