Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
- #281
Mpaka sasa sijui jifanye nini yani nipo dilemma.Nakuambia ukweli 💯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa sijui jifanye nini yani nipo dilemma.Nakuambia ukweli 💯
Pendaneni tu ila service ya kumwaga oil ipo mara moja mojaMpaka sasa sijui jifanye nini yani nipo dilemma.
Sio mke mkuu ni demu wangu tuu sema tuna malengo.Ukitaka kupunguza pressure na wewe huko vuta chuma ila usimsahau mkeo
So niweke kichwani nachapiwa?Pendaneni tu ila service ya kumwaga oil ipo mara moja moja
😁😁 huyo utapokonywa kabisa cha muhimu funga ndoa ya haraka usepe.Sio mke mkuu ni demu wangu tuu sema tuna malengo.
Ni lazima nyinyi wawili mkubali katika kutokubaliana kwenye baadhi ya mambo. Msifuatiliane jinsi mnavyoishi kwenye mikoa yenu ya kikazi mtadumu.Habari wakuu,
Mpaka sasa nipo mbali na shemeji yenu ni mwaka sasa hatujaonana sababu ya issue za utafutaji japo mawasiliano yapo strong kiasi chake.
Ila mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
Hapana be positiveSo niweke kichwani nachapiwa?
Mapenzi yakiwa na viingereza kutoboa hua ni ngumu.Almost 14 months.
It was unexpected. We met once. We had constant communication, show affection, loving, caring and supporting each other during good and bad times. Just recently, he told me La roche nimechoka your bad attitude and blah blah nyingi. but i know myself i’m a good girl 😂
It’s painful and difficult to accept it from someone you talked to everyday and now he’s gone…
Unang'ata na kupuliza mkuu😁, nishajiongeza lakini.Hapana be positive
Eeee unafiki mwingiUnang'ata na kupuliza mkuu😁, nishajiongeza lakini.
Daah. Huyu ilifaa siku ya harusi yake unakuwepo unampa na zawadi nyingine kisha unasepa bila fujo wala maneno yoyote. Unamwacha kwenye kidonda cha moyo cha maisha.Ilidumu mpaka pale aliponiambia nimtumie suti kwa ajili ya kaka yake kuolea na mimi nikatuma kuja kugundua ilikuwa ni suti ya bwana harusi anaemuoa yeye, kuvaa siku ya ndoa yao.
Huyo hata angekuwa karibu bado hiyo bad attitude angeiona tu, wa nini sasa,😂😂😂 no comment
Nilikuwa nakusubiri wewe msemaji wangu, uje unisemee 🤣Wewe sema bwana acha maswali🤣🤣🤣
Acha tuu mkuu, ila yeye yupo tayari kuja nilipo hata kesho ila sasa nikiwaza gharama naishiwa nguvu.Mahusiano ya mbali ni ujinga tu, mnaaminishana vitu havipo, mnapeana hopes hazipo....hadi muonane mnatumia gharama kubwa, just kwa weekend moja ila gharama zake aaagr.
Binafsi naona hayana(ga) afya. Kwanza kuwekana tu mbinde 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Mahusiano ya mbali ni ujinga tu, mnaaminishana vitu havipo, mnapeana hopes hazipo....hadi muonane mnatumia gharama kubwa, just kwa weekend moja ila gharama zake aaagr.
Binafsi naona hayana(ga) afya. Kwanza kuwekana tu mbinde 🤣🤣
I think na ufupi wake umechangia pakubwa.. 😂😂Huyo hata angekuwa karibu bado hiyo bad attitude angeiona tu, wa nini sasa,
Sasa hivi ndio ufupi wake umeuona sio? Mwanzo alikua tolu.I think na ufupi wake umechangia pakubwa.. 😂😂
Wanaume wafupi ni special case
Kwanza ulimuhurumia tu, vinajionaga vidume kumbe ni vitoto vyenye ndevuI think na ufupi wake umechangia pakubwa.. 😂😂
Wanaume wafupi ni special case
Mkuu umeanza makali yako sasa😁Kwanza ulimuhurumia tu, vinajionaga vidume kumbe ni vitoto vyenye ndevu